Mess
JF-Expert Member
- Mar 2, 2009
- 661
- 182
Nasikitika saana na siasa za Zitto na simwelewi kuwa yeye ni msemaji wa chama au anaamua kuharibu tu. Zitto hakubali maamuzi ya wengi kwa nini? Sitta mbona hakutoka na kusema hakukubaliana na maamuzi ya kutemwa ? baada ya kuwa wameshakubaliana kwenye kikao ikawa imekubalika na wote. Lakini sasa wewe ukitoka nje na kuanza kuongea ovyo unadhani unajipa ujiko? aisee bora utoke chamani maana watu wana uchungu na maendeleo hatutaki kuona ukilikwamisha taifa hili. Harafu hujui maana ya upinzani, angalia siasa za nje, mpinzani ni lazima amkosoe yule aliyepo madarakani kwa point zinazgusa jamii vinginevyo kakungekuwa na upinzani. Unajikomba nini Zitto??? na vimali ulishapewa ukasema hutaki siasa umerudi kufanya nini huku tena, ulisema unataka kufundisha huko kungekufaa sana.