zitto anaweza kusema tu kwamba hakuweza ku walk out kabla ya kuwasiliana na wapiga kura wake kujua wanavyofikiri kuhusu hilo, hii sababu tosha kwangu. Wawakilishi wanatakiwa wafanye matakwa ya wananchi, sio kuwaamulia wananchi.
mkuu leo asubuhi kwenye jambo tz tbc1 ndi alichosema kwamba mimi sikuchaguliwa na slaa/mbowe bali na wanakigoma kwa hiyo ridhaa yao ilikuwa yamhimu sana ili kuwalk out.
Halafu wanasema nini? Kumfukuza, thubutu, walifanya hivyo kwa kafulila na mwenzake siunaona yaliyowafika, siwamepoteza majimbo yote mawili? Au hawajifunzi?
Kwa taarifa yako chadema haina nguvu wala mvuto kwa majimbo ambayo yana waislamu wengi, zaidi ya umaarufu wa mgombea husika ndo maana hata akina kafulila walipoondoka chadema na mwenzake bado walipata hayo majimbo kupitia nccr mageuzi
leo hii natamani imfukuze zitto ili kifo chao kiwadie kwani watachaguliwa mbeya na kilimanjaro na sehemu zinazofanana na hizo tu.
Trust me.
Solution, (binafsi siipendi ccm lakini siipendi chadema zaidi ndo maana hata kura yangu nilikuwa tayari kuwapa ccm kuliko chama hicho cha kikabila/kidini/kifamilia.
Dr. Slaa you are the hores, i trust you, kupitia uongozi mwanana wa kikwete umeweza kupata nafasi ya kuananika mengi ambayo tulikuwa hatuyafahamu na vyombo vya habari vikapewa nafasi ya kuyaandika, thats big thanks kwa slaa,
lakini ndugu yandu slaa hao watu waliokuzunguka wengi si watu wazuri we know them and we can not trust them anytime hata leo kuwapa nchi, ndo maana hata wabunge wakuteuliwa wamewekana ndugu tu ni tofauti kabisi na cuf ambapo hatuoni ndugu yake seif au lipumba akipendelewa kupewa viti maalum.
Watch it out au fanya hima uungani na watu wa cuf hao wamekomaa kisiasa na hawanatamaa na madaraka then itakuwa easy kuwapeni nchi, other no and go to hell.
See you next time.