Nashukur kwamba umeprove huna uwezo wa kunihakikishia ni kwa nini Katiba ndio iwe national Priority yetu badala ya maendeleo? Na umeshindwa kunihakikishia ni jinsi gani katiba yetu inachangia kua nyuma kimaendeleo?? Umenidhihirishia ninaongea na mtu mwenye vidato vingapi. Ni wakati wa kuacha kuota, ni wakati wa kudiscuss vitu in reality. Si TZ tu, Africa kwa ujumla. Katiba ya tanzania haipo Msumbiji, Malawi, Zambia, Namibia, Congo, n.k. Nchi zote hizo ni maskini, unataka kuniambia ni Africa nzima ni masikini kwa sababu ya CCM na katiba ya Tanzania?? Think further my friend.
Lazima tubadilike, badala ya kua tunadiscuss ndoto, tudiscuss vitu vya kutuondoa kwenye umaskini. Tushikamane kwa pamoja kwa ajili ya kizazi kijacho. Nikuhakikishie kwamba mie sina tatizo la uelewa hata kidogo, ndio maana nimekataa kunyweshwa sumu na waroho wa madaraka na wafanya biashara ya Ruzuku. Hiyo analysis yako ndio hiyo hiyo nimekua nikiiona kwenye gazeti la tanzania daima. Think more than that, Katiba, katiba, utafikiri hiyo ndio inasimamia kilimo, viwanda, na uzalishaji kwa ujumla. Katika ni guide tu, kinachotakiwa ni strategies na mapendekezo mazuri ya kujenga. Sio kugoma kama watoto