Zitto amburuza Kilewo polisi

Status
Not open for further replies.
Naona yule jamaa mwenye tuhuma ya kubaka kadenti sasa hivi anapumua!
 
Mods mnaweza kumjibu huyo kijana?

cc Invisible


Invisible hana muda mchafu wa kudeal na tapeli,

Sisi tulikuambia huu utapeli wako fanya huko huko mbutu,hili jukwaa ni la GT,

Umeona ulivyodhalilika sasa??

Leo hii kila mtu humu ndan anakujua kuwa wewe ni kikaragosi tuh usie na mbele wala nyuma,ila umejitakia tuh,

YAN UNA LAANA WEWE??WEWE BABA YAKO MZAZI MZEE MSAMBILA UNAE,KISHA UNA MKANA NA KUSEMA MWALIMU NYERERE NI BABA YAKO MZAZI TENA??

HIVI HII YOTE YA NINI??KUMKANA MZAZI WAKO KISA NINI??UMAARUFU AU UTAPELI??TUMEKOMESHA TABIA ILE NA TUNAKUPA ONYO USIRUDIE TENA,TAPELI MKUBWA WEWE,

LIONE KWANZA...!!!BABA YAKO NI BABA YAKO,HATA KAMA ANA MAISHA MAGUMU NI BABA YAKO TUH,MUST BE SO SO CRAIZY,UNA MKANA VIPI MZAZI WAKO??STUPID KABISA...
 
WAKATI Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kikimwandikia Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe barua ya kumtaka ajieleze dhidi ya tuhuma zinazomkabili, yeye ameamua kukimbilia polisi akimshitaki mmoja wa viongozi wenzake.

Habari za kuaminika zimedai kuwa Zitto ambaye hivi karibuni alivuliwa cheo chake cha unaibu katibu mkuu wa CHADEMA, inadaiwa amefungua mashitaka polisi akimtuhumu Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Dar es Salaam, Henry Kileo kwa madai ya kusambaza waraka katika mitandao ya kijamii.

Akithibitisha tukio hilo, wakili wa Kileo, Peter Kibatara, alisema kuwa mteja wake amemriwa kufika makao makuu ya Jeshi la Polisi leo Jumatano saa nane mchana na kuonana na mmoja wa maofisa wa juu wa jeshi hilo, aliyetajwa kwa jina moja tu la Mbutta, kufuatia mashitaka yaliyofunguliwa na Zitto dhidi yake.

Akizungumza kwa njia ya simu na mwandishi wetu, Kileo alikiri kuitwa polisi, ingawa alidai hajui ni waraka gani anaotuhumiwa kuusambaza unaomchafua Zitto.

“Kwa kweli sijui hata mimi ni waraka gani, ingawa hivi karibuni kulikuwa na waraka wa siri uliodaiwa kutoka CHADEMA, na ambao ulijaa tuhuma za usaliti. Lakini huo tuliishaukana siku nyingi. Labda kuna mwingine,” alisema Kileo.

Zitto kutwa nzima ya jana hakuweza kupatikana kwa njia ya simu kufafanua mashitaka aliyofungua polisi. Simu zake zote za kiganjani zilikuwa zimezimwa.

-Tanzania daima.

Haya ndiyo ya mfa majii siku zote hutapatapa!!! Anatafuta wa kufa naye??? Zitti acha ujinga!!!Wewe ni haini, ni saliti period!!!! Asilimia kubwa ya watanzania wapenda mabadiliko na maendeleo hawakutaki!!! Unatafuta public sympathy Zitto!!! Nenda CCM, katulie huko, waambie kimenuka!!! CDM hutakiwi, unalazimisha tu kubaki huko!!! Saliti mkubwa sana wewe!!! Tuliomba sana Mungu siku nyingi aweze kudhihirisha unafiki wako, yametimia, meza kaa la moto na wembe wa makali na tulia!!
 
Ukimuona Yericko mwenyewe live anakupiga 'mizinga' hutoamini macho yako! Hajai hata kwenye kucha!

Mimi pia nimeshawahi kumshuhudia kwa macho yangu yericko,sema yeye hakunijua,

Nilikua natoka posta CRDB BANK pale azikiwe naelekea zangu home TABATA,kachoka sana huyo jamaa,na maisha yamempiga kweli kweli,

Nilimuhurumia sana,nikajua kumbe JF inawaongea watu sana,yan nilitaman hata nimpige picha ili wenzangu nao waje wajionee,vijana wajifunze kuish kwa malengo,maisha ya utapeli na kutumiwa na wanasiasa hayatasaidia kwa wao kutimiza ndoto zao,
 
Sasa kama ndio hivo nayeye sini mshikiwa katika kuandaaa? Nadhani kilewo ashitakiwe kwa kuweka waraka public ila kama ni kuuandaa basi zitto nae akamatwe na wenzake aache viroja.


Lakini tangu awali alisema atawaburuza mahakamani wote waliohusika kuandaa na kusambaza ule waraka. Nadhani move ndo imesha anza hivyo.
 
Hizi sasa sarakasi. Hivi yule aliyeuweka waraka ule kwenye blog yake siye huyu? Mbona mnacheza na akili za wananchi!

blog ngapi ziliweka ule walaka mkuu? kwanini asiwashitaki wote sasa hakuna jipya ni anahangaika tu huyo zitto, blog sikuiz zinacopy n paste eti zitto ndio anajiona msomi na anauelewa sasa sijui atambana vipi kuwa kilewo ndie msambazaj na ninauhakika kwa tulipofikia ndio tutaujua ukwel wa akil ya zitto kama nae sio kichwa maji, akili ya mtu hupimwa kwenye matatzo sio kwenye raha na mbaya zaid hadi wakili wakina zitto nae shida tupu.
 
Invisible hana muda mchafu wa kudeal na tapeli,

Sisi tulikuambia huu utapeli wako fanya huko huko mbutu,hili jukwaa ni la GT,

Umeona ulivyodhalilika sasa??

Leo hii kila mtu humu ndan anakujua kuwa wewe ni kikaragosi tuh usie na mbele wala nyuma,ila umejitakia tuh,

YAN UNA LAANA WEWE??WEWE BABA YAKO MZAZI MZEE MSAMBILA UNAE,KISHA UNA MKANA NA KUSEMA MWALIMU NYERERE NI BABA YAKO MZAZI TENA??

HIVI HII YOTE YA NINI??KUMKANA MZAZI WAKO KISA NINI??UMAARUFU AU UTAPELI??TUMEKOMESHA TABIA ILE NA TUNAKUPA ONYO USIRUDIE TENA,TAPELI MKUBWA WEWE,

LIONE KWANZA...!!!BABA YAKO NI BABA YAKO,HATA KAMA ANA MAISHA MAGUMU NI BABA YAKO TUH,MUST BE SO SO CRAIZY,UNA MKANA VIPI MZAZI WAKO??STUPID KABISA...

Ha ha ha!!!! The Big Show!!!! Leta evidence ya maandhishi kuwa Yericho Nyerere alimkana baba yake!!! Tutakuamini kupitia key board tu? Off course tunajua upande unaoegemea kisiasa ila usipende ku-attack watu bila evidence!!! Wewe ni nani ulalamike wakati watoto wa baba wa Taifa hawajalalamika??? Mfupa usiokuhusu unaudandia wa nini??? Pole sana.
 
mi sisemi kitu mpaka ajibu tuhuma za kugawa fedha kwa akina Gwakisa,Mwampamba ,saanane na nyie wote mpo humu tunajua hebu fungukeni tupate cha kuwahoji, huyo zzk ni nani yenu ....... mpaka awape hzo fedha...
 
Ukirejea waraka wa nyuma wa CHADEMA KUJITEKA NA KUMMWAGIA TINDIKALI KUBENEA, utagundua kwamba mtu kama ZITTO KABWE hakutakiwa kabisa kuwa CHADEMA. aina ya watu walioko katika chama hicho sio wa aina yake. Zitto ni mtu mwenye akili kubwa (kama alivyosema nchemba). Nadhani sasa anatakiwa atafute mwelekeo mpya ikibidi kujitoa kwenye siasa kwani anaweza kuisaidia nchi hii hata akiwa nje ya siasa au kuingia kwa wenzake wenye akili kubwa. Hawa wenye chama hicho watamsumbua sana.
 
Sasa huyu Henry Kileo mbona muoga hivi?! Ni hivi karibuni tu aliingia na VUN yake akisema yeye haogopi polisi.

Jana anasema hajui ni waraka gani tena? MACHADEMA kweli ni majanga! Mimi nilidhani angesema ule waraka ni wakweli na yote yaliyomo ndani ili ionekane kweli Zitto ni msaliti.

Sasa anapokanusha kuujua ule waraka kutoka makao makuu, inamaanisha zile shutuma sio za kweli?

Kweli mungu hamfichi mnafiki! Utataja chanzo cha huo waraka kabla hujapost kwenye blog yako. Labda usema ni hiyo blog sio ya kwako!

Mnafiki ni mbaya kuliko muuaji.

mkui walaka unaoongelewa hapa ni ule wa kwanza kabla ya huu wa juz wa makao makuu ambao hata makao makuu ya cdm walisema hawaujui na hawajasambaza wao pia hata hapa jf uliwekwa mara kadhaa ukawa unatolewa ila wewe nadhan unazungumzia huu uliotelewa juz na makao makuu.
 
Nani akuhoji wewe??

Una nini cha kuhojiwa,watu tunakucheza shere tuh humu ndani,

Tunakufanya kama mwanasesere tuh,eti nayeye anasema ana mwanasheria,lol..

Yan unataman maisha yasiyo yako wewe pimbi,

ENZI ZILE ULIPOKAWA UNATAMBA NA VERIFIED ID NILISHAWAHI KUKUAMBIA KUWA WEWE NI TAPELI NA FAMILIA YA NYERERE HAIKUTAMBUI,SO MIMI NAKUITA YERICKO "X',UKANISHITAKI KWA MODS NIKAPIGWA BAN,SASA LEO MODS WAMETAMBUA UKWELI WA YALE AMBAYO TULIKUWA TUNASEMA HUMU SIKU ZOTE,SASA KWA RAHA ZANGU NAKUITA YERICKO X,VIPI UNAWEZA KUNISHITAKI KWA MODS??

:cool: :cool: CC Ritz MwanaDiwani kahtaan CHAMVIGA Ng'wamapalala@Bokoharam n etc,

Tapeli maarufu wa JF anapatikana anga hizi leo...
...acha utoto na wewe...hzio cc za nini...ongea kwa kujiamini....
 
Namshauri Zitto aachane na hizi kesi zisizo na kichwa wala miguu. Ana kesi nyingine kubwa kufungua siku chache zijazo, kutetea ubunge wake...
Tuko tuko pamoja. Mwenzio tayari nimeanza kumuita Mh. Zitto Zuberi Kabwe, kwa cheo cha Mbunge wa Kigoma Kaskazini anayemalizia muhula wake kupitia Mahakama
 
Last edited by a moderator:
Lol,

Nimecheka sana,eti zitto apime kina cha maji cha yericko?

Acha kumkejeli yericko,hastahili kejeli kwa sasa huyu mpiga ripu,anastahili kuhurumiwa tuh,

We unadhan huyu wa kupoteza muda wa watu??huyo ni tapeli tuh thats why hata MODS WAMEAMUA KUMPOKONYA VERIFICATION ID YAKE

:cool: :cool:

Who is Yericko by the way??watu wanalitumia jina la mwalimu vibaya sana
 
Henry Kilewo vipi tena kamanda unaukana waraka wako au umeona hali mbaya.

Mkuu Ritz, huo waraka watu wali copy and paste, wengine walirusha hata katika blog zao!!! sasa iweje umshtaki mtu aliyejisevia tu kama wengine!!! Basi aje anishtaki na mimi maana niliusambaza sana kwa njia zote nilizoweza, facebook, emeils, blogs, etc!!! Mfa maji haachi kutapatapa. Kwenye server langu pia waraka umo, kama rejea ya miaka kadhaa kwangu na kizazi, mambo ya historia hayo!!! Yeye ZZK ajipange tu kuja kwenu maana kule hatakiwi kabisa!!! Unajua ukishang'atwa na nyoka hata ukiona jani unashtuka!!!! CDM haiwezi kuwa shwari kama wataendelea kumhifadhi hiki kidudu mtu wenu. Chukueni hiki kirusi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom