Ha ha hahaha! Nilitegemea angekwenda kumshitaki Yericko Nyerere, ila amepima kina cha maji cha Yericko akaona ni sawa na kuzamia meli ya mgiriki, sasa kaona kwa Kilewo ndo mteremko.
Bado naamini Yericko Nyerere ni kiboko ya Zitto.
Mods mnaweza kumjibu huyo kijana?
cc Invisible
WAKATI Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kikimwandikia Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe barua ya kumtaka ajieleze dhidi ya tuhuma zinazomkabili, yeye ameamua kukimbilia polisi akimshitaki mmoja wa viongozi wenzake.
Habari za kuaminika zimedai kuwa Zitto ambaye hivi karibuni alivuliwa cheo chake cha unaibu katibu mkuu wa CHADEMA, inadaiwa amefungua mashitaka polisi akimtuhumu Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Dar es Salaam, Henry Kileo kwa madai ya kusambaza waraka katika mitandao ya kijamii.
Akithibitisha tukio hilo, wakili wa Kileo, Peter Kibatara, alisema kuwa mteja wake amemriwa kufika makao makuu ya Jeshi la Polisi leo Jumatano saa nane mchana na kuonana na mmoja wa maofisa wa juu wa jeshi hilo, aliyetajwa kwa jina moja tu la Mbutta, kufuatia mashitaka yaliyofunguliwa na Zitto dhidi yake.
Akizungumza kwa njia ya simu na mwandishi wetu, Kileo alikiri kuitwa polisi, ingawa alidai hajui ni waraka gani anaotuhumiwa kuusambaza unaomchafua Zitto.
Kwa kweli sijui hata mimi ni waraka gani, ingawa hivi karibuni kulikuwa na waraka wa siri uliodaiwa kutoka CHADEMA, na ambao ulijaa tuhuma za usaliti. Lakini huo tuliishaukana siku nyingi. Labda kuna mwingine, alisema Kileo.
Zitto kutwa nzima ya jana hakuweza kupatikana kwa njia ya simu kufafanua mashitaka aliyofungua polisi. Simu zake zote za kiganjani zilikuwa zimezimwa.
-Tanzania daima.
Ukimuona Yericko mwenyewe live anakupiga 'mizinga' hutoamini macho yako! Hajai hata kwenye kucha!
Lakini tangu awali alisema atawaburuza mahakamani wote waliohusika kuandaa na kusambaza ule waraka. Nadhani move ndo imesha anza hivyo.
Hizi sasa sarakasi. Hivi yule aliyeuweka waraka ule kwenye blog yake siye huyu? Mbona mnacheza na akili za wananchi!
Invisible hana muda mchafu wa kudeal na tapeli,
Sisi tulikuambia huu utapeli wako fanya huko huko mbutu,hili jukwaa ni la GT,
Umeona ulivyodhalilika sasa??
Leo hii kila mtu humu ndan anakujua kuwa wewe ni kikaragosi tuh usie na mbele wala nyuma,ila umejitakia tuh,
YAN UNA LAANA WEWE??WEWE BABA YAKO MZAZI MZEE MSAMBILA UNAE,KISHA UNA MKANA NA KUSEMA MWALIMU NYERERE NI BABA YAKO MZAZI TENA??
HIVI HII YOTE YA NINI??KUMKANA MZAZI WAKO KISA NINI??UMAARUFU AU UTAPELI??TUMEKOMESHA TABIA ILE NA TUNAKUPA ONYO USIRUDIE TENA,TAPELI MKUBWA WEWE,
LIONE KWANZA...!!!BABA YAKO NI BABA YAKO,HATA KAMA ANA MAISHA MAGUMU NI BABA YAKO TUH,MUST BE SO SO CRAIZY,UNA MKANA VIPI MZAZI WAKO??STUPID KABISA...
Sasa huyu Henry Kileo mbona muoga hivi?! Ni hivi karibuni tu aliingia na VUN yake akisema yeye haogopi polisi.
Jana anasema hajui ni waraka gani tena? MACHADEMA kweli ni majanga! Mimi nilidhani angesema ule waraka ni wakweli na yote yaliyomo ndani ili ionekane kweli Zitto ni msaliti.
Sasa anapokanusha kuujua ule waraka kutoka makao makuu, inamaanisha zile shutuma sio za kweli?
Kweli mungu hamfichi mnafiki! Utataja chanzo cha huo waraka kabla hujapost kwenye blog yako. Labda usema ni hiyo blog sio ya kwako!
Mnafiki ni mbaya kuliko muuaji.
...acha utoto na wewe...hzio cc za nini...ongea kwa kujiamini....Nani akuhoji wewe??
Una nini cha kuhojiwa,watu tunakucheza shere tuh humu ndani,
Tunakufanya kama mwanasesere tuh,eti nayeye anasema ana mwanasheria,lol..
Yan unataman maisha yasiyo yako wewe pimbi,
ENZI ZILE ULIPOKAWA UNATAMBA NA VERIFIED ID NILISHAWAHI KUKUAMBIA KUWA WEWE NI TAPELI NA FAMILIA YA NYERERE HAIKUTAMBUI,SO MIMI NAKUITA YERICKO "X',UKANISHITAKI KWA MODS NIKAPIGWA BAN,SASA LEO MODS WAMETAMBUA UKWELI WA YALE AMBAYO TULIKUWA TUNASEMA HUMU SIKU ZOTE,SASA KWA RAHA ZANGU NAKUITA YERICKO X,VIPI UNAWEZA KUNISHITAKI KWA MODS??
CC Ritz MwanaDiwani kahtaan CHAMVIGA Ng'wamapalala@Bokoharam n etc,
Tapeli maarufu wa JF anapatikana anga hizi leo...
Lol,
Nimecheka sana,eti zitto apime kina cha maji cha yericko?
Acha kumkejeli yericko,hastahili kejeli kwa sasa huyu mpiga ripu,anastahili kuhurumiwa tuh,
We unadhan huyu wa kupoteza muda wa watu??huyo ni tapeli tuh thats why hata MODS WAMEAMUA KUMPOKONYA VERIFICATION ID YAKE
Henry Kilewo vipi tena kamanda unaukana waraka wako au umeona hali mbaya.