Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,580
Zitto hana ushahidi wa kumtia hatiani Henry Kilewo, hiyo ni kutapa tapa maana hicho anachokilalamikia hakionekani.
Last edited by a moderator:
Wote tunajua kuwa Ben Saanane ni verified user member wa JF.... Ombi laku ni kumtaka aje athibitishe kama kweli alitumiwa mgao wa vijisenti kutoka kwa Prezooo! Na zilikuwa kwa lengo lipi? Kama alilipwa kwa kupiga deki nyumbani kwa ZZK - Prezooo atueleze... Plz Mods muiteni Ben Saanane aje kujibu......
vifaranga vya mbowe hivyo naona vinaanza kung'ang'aniwa,ngoja amkabe hadi mama yao ajitokeze
Zitto hana ushahidi wa kumtia hatiani Henry Kilewo, hiyo ni kutapa tapa maana hicho anachokilalamikia hakionekani.
Parakatatumba za chadema zinaendelea
Kitufe kimekodiswa kule Lumumba, kwa sasa wanakitumia kugongeana like huko ofisi kwao,
Lakini tangu awali alisema atawaburuza mahakamani wote waliohusika kuandaa na kusambaza ule waraka.Very strange, ZITTO ka panick kabisa how childish yaani hasira za Mkizi
vifaranga vya mbowe hivyo naona vinaanza kung'ang'aniwa,ngoja amkabe hadi mama yao ajitokeze
....Very strange, ZITTO ka panick kabisa how childish yaani hasira za Mkizi
Inaelekea polisi wanarespond haraka kwa Mheshimiwa kulinganisha na wengine wanapopeleka madai yao!