CHAMVIGA
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 7,687
- 2,240
Mkuu Chamviga Zitto ni mchafu siku nyingi sana hata kwa maji taka hatasafishika!!! That is maji taka ni masafi kuliko Zitto!!! Si mlitegemea angepata public sympathy!!!!!??? Watanzania wangeandamana!!!! Hakuna kitu kama hiki kwa kuwa alishajulikana!!!! Watanzania makini walifurahi sana!!! Kwenye vijiwe vya kahawa na bar ilikuwa ni cheers tu mkuu!!! Bravo CDM!!
Nani alikuambia watanzania wataandamana kwa ajili ya zitto? Tuna faidi nini kwa kuandamana kufukuzwa zitto kutoka chama cha kidini, kikabila na kikanda? Mimi nashukuru zito kama akifukuzwa kwani ni kumpuzisha na kuokoa imani yake ya dini manake yupo hatarini kuimbishwa injili na kuritadishwa kabisa.