Zitto amburuza Kilewo polisi

Zitto amburuza Kilewo polisi

Status
Not open for further replies.
Mkuu Chamviga Zitto ni mchafu siku nyingi sana hata kwa maji taka hatasafishika!!! That is maji taka ni masafi kuliko Zitto!!! Si mlitegemea angepata public sympathy!!!!!??? Watanzania wangeandamana!!!! Hakuna kitu kama hiki kwa kuwa alishajulikana!!!! Watanzania makini walifurahi sana!!! Kwenye vijiwe vya kahawa na bar ilikuwa ni cheers tu mkuu!!! Bravo CDM!!

Nani alikuambia watanzania wataandamana kwa ajili ya zitto? Tuna faidi nini kwa kuandamana kufukuzwa zitto kutoka chama cha kidini, kikabila na kikanda? Mimi nashukuru zito kama akifukuzwa kwani ni kumpuzisha na kuokoa imani yake ya dini manake yupo hatarini kuimbishwa injili na kuritadishwa kabisa.
 
Kwenye ule waraka wa kitila kuna sehemu inasema"mtu tunaemtaka ana hasira za haraka,mwepesi wa kupanic,pia hajaoa"mwisho wa kunukuu
Pia 'anapenda sana kutumia media hasa Facebook na Twitter' mwisho wa kunukuru.
 
Nikisema mimi nitaonekana muongo,

Huyu Yericko ni tapeli,nashangaa kwa nin baadhi ya viongoz wa chadema wanamkumbatia kumbatia,,

Watoto wa mzee nyerere tunao humu jukwaani na walishatokea na kumkana,
Andrew Nyerere alishamkana na kusema hamfaham hata kidogo,na ni tapeli,

Kisha akaja mwenyewe yericko baada ya sisi kumdhalilisha kwa utapeli wake akaomba radhi lakin bado hakomi kulitumia jaina hilo hadi MODS WAKALIFUTA KUWA VERIFIED NAME,


Naomba Ritz au MwanaDiwani mnibandikie lile bandiko alilokuwa anasema kwamba yeye nyerere ni baba yake mzazi huku anamkana baba yake mzazi halisi ili huyu ndugu yangu ajionee uhalisia wa utapeli wa yericko mpiga RIPU...
Acha ujinga wa kutajataja watu wewe kubwa jinga
 
Mkuu vipi wale vijana waliofungwa kule mtwara kwasababu ya kutetea gesi mbona umewatelekeza?au wewe unajificha nyuma ya keyboard tu huna lolote?
Mwanaume kutojiamini ni kitu kibaya si uje na ID yako hii fake ID inaonyesha ni kiasi gani ulivyokuwa fisi.
 
uanuvua utu wako sababu ya pesa! shame on Zitto! afe na yeye akaungane na balali, maana ccm wakishakutumia wanakuflush asap! puuuuuuuuuuuu!

Umenena mkuu cacico, yaani sijui ni kwa nini hawa wachumia tumbo wanakubali kuwa rubber stamp!!! Na isitoshe stamp hiyo inatumika kama toilet tissue na ikishamaliza kazi ya kufuta pupu inatumbukizwa chooni na flush maji chwaaaaaaaaaa!!! Waliotumiwa na chama tawala katika vyama vyao leo wako wapi??? Sana sana ni wachache au mmoja tu amepata zawadi ya ubunge wa kuchaguliwa kwa maagizo ya kuwataka wana ssm wapige kwa TLP!!! Mwingine baba Zima likaukwaa viti maalum baada ya kudondoshwa na yule mdada!!! Sasa wengine hata hatuwasikii tena kama wako hai au la!!! Kina Mtela na Juliana wako wapi sasa hivi??? Hawa ndo walikuwa watiifu kwa Prezooo a.k.a Haini/Saliti!!! Kazi imekwisha!!! Atafute ujasiriamali mwingine!!!
 
Nimegundua kitu kimoja cha msingi kuwa, MMOJA kati ya hawa ni THE BIG SHOW Juliana Shonza
  1. Samson Mwigamba
  2. Mtela Mwampamba
  3. Habib Mchange
  4. Zitto Kabwe Zuberi
Nimepanga kufuata namna anavyoposti leo kwenye Thread hii

Tazama Post kama hii;
Invisible hana muda mchafu wa kudeal na tapeli,

Sisi tulikuambia huu utapeli wako fanya huko huko mbutu,hili jukwaa ni la GT,

Umeona ulivyodhalilika sasa??

Leo hii kila mtu humu ndan anakujua kuwa wewe ni kikaragosi tuh usie na mbele wala nyuma,ila umejitakia tuh,

YAN UNA LAANA WEWE??WEWE BABA YAKO MZAZI MZEE MSAMBILA UNAE,KISHA UNA MKANA NA KUSEMA MWALIMU NYERERE NI BABA YAKO MZAZI TENA??

HIVI HII YOTE YA NINI??KUMKANA MZAZI WAKO KISA NINI??UMAARUFU AU UTAPELI??TUMEKOMESHA TABIA ILE NA TUNAKUPA ONYO USIRUDIE TENA,TAPELI MKUBWA WEWE,

LIONE KWANZA...!!!BABA YAKO NI BABA YAKO,HATA KAMA ANA MAISHA MAGUMU NI BABA YAKO TUH,MUST BE SO SO CRAIZY,UNA MKANA VIPI MZAZI WAKO??STUPID KABISA...

Maneno ya kike hayo niliyowekea rangi
 
Familia ya mwalimu hawajalalamika!!! Tunao hapa JF!!! Sasa wewe ni nani unayelalamika!!!! Mambo ya familia ya Baba wa Taifa ni ya familia yao tu period!!! Mlianza kumpinga yule mbunge, hadi wanafamilia ya Nyerere walipowatolea tamko mkaaibika!!!!
Mkuu unabisha tu au una ushahidi nikikuletea ushahidi wa familia ya Nyerere walivyolalamika utasemaje.
 
Mimi tayari nilishahojiwa, wala sina hofu,

ninafurahi kuona ndugu yetu akihangaika,

Kesi ya msingi iliyopo polisi siyo kile kinachoitwa ripoti, bali ni kutishiwa maisha kwa zitto.

Kumbuka gazeti la Nipashe la jana na Jamhuri yameitoa ile ripoti bila kuweka chanzo, hivyo wahariri wake wanajua ukweli wake,

Polisi sio wanasiasa wao wanatafuta jinai ya msingi iliyofunguliwa na Zitto, ripoti ni sehemu tu ya maswali ukiwa pale polisi.


Zingatia kuwa Zitto alishautangazia umma kuwa ameshampata aliyemtishia akamtaja kwa jina kuwa ni Theo Mtahaba, na zaidi akasema amemjua hadi wasifu na kipato chake.

Kileo leo hii hana kesi ya kujibu zaidi ni kumkumbusha mpelele tu kuwa wamwambie Zitto awaonyeshe mr Mtahaba alipo na kesi ya msingi ipelekwe mahakamani.

Tuache porojo tulisaidie jeshi la polisi lifanikiwe kumpata Mr Mtahaba aliyemtishia maisha Zitto

Kimenuka. Hiyo ni mwanzo tu, unajuwa kuna mlolongo wa kujibu unakusubiri, umeshasahau kuhusu nyaraka za siri?

Unalo tu.
 
Mkuu Ritz, huo waraka watu wali copy and paste, wengine walirusha hata katika blog zao!!! sasa iweje umshtaki mtu aliyejisevia tu kama wengine!!! Basi aje anishtaki na mimi maana niliusambaza sana kwa njia zote nilizoweza, facebook, emeils, blogs, etc!!! Mfa maji haachi kutapatapa. Kwenye server langu pia waraka umo, kama rejea ya miaka kadhaa kwangu na kizazi, mambo ya historia hayo!!! Yeye ZZK ajipange tu kuja kwenu maana kule hatakiwi kabisa!!! Unajua ukishang'atwa na nyoka hata ukiona jani unashtuka!!!! CDM haiwezi kuwa shwari kama wataendelea kumhifadhi hiki kidudu mtu wenu. Chukueni hiki kirusi.
Mkuu usiwe na haraka ndiyo kesi imeanza hii chein ni ndefu vuta subra.
 
Mkuu unabisha tu au una ushahidi nikikuletea ushahidi wa familia ya Nyerere walivyolalamika utasemaje.

Unasemaje kuhusu umeme kupanda kwa 68% huku mishahara ikipandishwa kwa 1%
 
chadema wataisoma namba,

mm chadema ikifa siwezi kulia nitaitupa mto kagera.

wabaguzi, wadini na wafitini mungu akiaangamizilie mbali chama cha wavuta bangi na malaya kama malay slaa na mbowe.

kazi kuchukua wake za watu na kuzaa nje ya ndoa zao

unataka kufanyafa kama vita ya rwanda(watusi na wahutu) !?....
 
Kikwete atawafanyaje, hebu tueleze

Achana na Kikwete huyo ndio Rais ambae hata Mwenyekiti wako anasema;

"nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe
 
kaka ni asubuhi najua hata chai haijashuka, mbona kushushia na juice ya omo, huogopi ukifafa wa kujitakia?? Hebu punguza povu basi! Haikusaidii hiyo.

Pigia makelele issue za mgao wa umeme, denti kubakwa na kapuya at least ungeeleweka! Behave plz!


We chukua time zako binti,

Who is your brother,ni behave kivipi??who are you tryng to tell me what to speak??

Chai leo haijashuka siku zote unaninunulia wewe??jike zima asubuhi asubuhi kama hii unataka kujibishana na wanaume huon hatari??una tafuta bwana au??

pole sana,me nimeshaoa n i have a very beautiful wife with happy home..!!,,muda wa kuruka ruka na viruka njia kama wewe i am sorry sitokuwa nao,sikujui hunijui,wala sijawahi kuingia anga zako hata siku moja,usiingie kwenye battle isiyo kuhusu sawa??

Kama kweli umedhikika na unatafuta bwana wa kukufaa ngoja nitakufuata PM tuzungumze may be nawez kukusaidia,but not me :busu ,,

This is just a piece of an advice to you,tokea nijiunge JF sijawahi kujibishana na binti yyte,huwa nawaheshimu sana wanawake coz najua kupitia mwanamke mimi niliweza kuja hapa dunian.,siyo siri naheshim sana mwanamke,nakupa homework tafuta humu JF huwez ona hata siku moja najibishana na mwanmke kwa namna yyte ile,

Wewe ni wa kwanza,sasa skia mind your own goddmaned biznes,

Pole kwa maneno makali na povu jingi kutoka kwangu,ila hivyo ndivyo unavyostahili kujibiwa,

I am puttin this to the shortest term known to me "i don wrestle with biach biach biach..""
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom