Zitto aitibua CHADEMA

Zitto aitibua CHADEMA

Wakuu,

1:Kuna watetezi wa Zitto hapa ambao ni genuine wanaona Zitto alionewa ingawa hawasemi kwamba alipewa barua kujulishwa makosa yakw

2:Kuna watetezi Genuine wa Chama hapa wanaotaka katiba ifuatwe na ukuu wa Taasisi uzingatiwe

3:Kuna watetezi wa Zitto hapa ambao sio genuine bali ni maadui wake na maadui wa Chadema.Ni maadui wa upinzani.Kazi ya kuchochea upande wanaoamua

4:Kuna wasiofungamana na upande wowote ila wanapenda haki na upinzani imara usio na doa na migogoro

5:Kuna wasiojua chochochote

6:Kuna ambao hawataki kabisa kuhoji ukweli wa hoja hii aliyoleta mleta mada na wapo kwenye hayo makundi yote hapo juu na hii inaweza kupelekea hata wanachama kukwaruzana

7:Kuna wahusika wakuu katika suala hili nao wako hapa hawatasema kwa ID zao halisi au wanafuatilia kwa karibu bila kujali credibility ya thread.

Kila mmoja awe genuine na azingatie haki na ubora wa mijadala sasa. I'm out!

Kati ya hao wewe uko wapi?
 
Sina problem na yeye kuanzisha ACT. Tatizo langu ACT ilianzishwa kwa malengo yepi ? Kama umeifuatilia ACT kwa kiasi tu, sidhani kama utakuwa na doubt kwamba kazi yake ilikuwa kupambana na CDM !

Ni haki kwa wengine ndani ya CDM kuwa na mawazo ya kumwamini Zitto tena (kwani ni mawazo yao), ila ni haki vile vile kwa sisi wengine kutomkubali kwani inatuwia vigumu sana kumwamini Zitto tena. Mimi nitakuwa wa mwisho kumwamini....nadhani sitamwamini kabisa !.

Pamoja na kwamba nimechangia kwenye mjadala huu, siamini kwamba kuna mpango ndani ya Chama kumhusu huyu jamaa haswa ukizingatia eti yeye ndiye anayetoa masharti !. Hata hivyo kama kwa namna yeyote kuna utaratibu wowote kumhusu Zitto, ni muhimu kwa CDM ku-accomodate mitazamo ya wanachama na wapenzi wake wote !. Sisemi kwamba CDM isishirikiane naye.....kwani ni sahihi kabisa kwa chama kushirikiana naye kwenye issue yeyote muhimu kwa Taifa kama ambavyo kimekuwa kikifanya hivyo hata kwa wana CCM inapobidi !....

Kwa mfano, sasa hivi tuna ushirikiano wa vyama vinne katika UKAWA lakini hiyo haina maana kwamba CDM wanajua vitu vyote vya jikoni/ndani vya CUF/NCCR/NLD and vice versa !. Ushirikiano una mipaka na kila chama kina mambo yake ya ndani ambayo hayaingiliwi na wengine......Hivyo ninachosema mimi CDM wanaweza wakashirikiana naye either akiwa huko huko ACT au kama atafuta kesi (sio lazima afukuzwe akishaifuta kesi), basi asichukuliwe kama ni mtu wa kuaminiwa na kuachiwa a-handle ishu sensitive za Chama !

Kwa maoni yangu mimi ni hatari kumwamini huyu jamaa kama ilivyokuwa mwanzoni kabla ya mgogoro......Chama lazima ki-handle mahusiano yake na Zitto with great care !

Ndiyo ninaamini kama Zitto ni miongoni mwa waanzilishi wa ACT, binafsi simlaum katika hili sababu mwanasiasa yeyote anahitaji kupata platform ya kufanyia siasa hivyo kwakuwa alijua atafukuzwa CHADEMA ndiomana akaamua kuandaa makazi mapema, hili ni kawaida na ni haki ya kikatiba ya mwanachama yeyote kuhamia chama kingine, si unakumbuka hata Drslaa baada ya kutoka CCM? Ilibidi aende CHADEMA japo mazingira ya Slaa kwenda CHADEMA nibtofauti na Zitto kutaka kwenda ACT lakini all in all wote objective yao ilikuwa ni kupata political platform.
 
Pasco tukisema na wewe umechagua side kabla ya kujua detail ya pande zote au angalao kuweka tahadhari "For the least info niliyonayo"

Halafu ondoa huo ushauri wako wa chama kumnyenyekea mtu.Huo ni ushauri mbaya kabisa kati ya ushauri niliowahi kukutana nao siku za karibuni.
Mkuu Ben, sitatake sides, sheri a, taratibu na kanuni zenu za nidhamu ziko wazi, zinafahamika na hazikufuatwa!, and sio mara moja!, but this time ndipo jamaa akagoma akiomba taratibu zifuatwe!.

Hili la Chama kunyenyekea watu, linafanywa na vyama vyote kutokana na umuhimu wa mtu husika!. Kunyenyekea sio lazima kupiga magoti na kuomba msamaha, ile tuu viongozi wakuu ya kumpigia makofi pale bungeni ni ishara tosha ya reconciliation in good faith, sasa watu wanamtaka asimame alipoangukia, ajifute vumbi na kuendelea na safari, mtu makini akijikwaa hata angalia alipoangukia, bali pale alipojikwaa, na ndicho kitu pekee ZZK ameomba!, bila kukaa chini na kutazama yalikotokeo, hata akiomba msamaha na kurejeshwa kundini, bila kutafuta source, then watu wale wale wanaweza kurudi tena na tuhuma zile zile, kwa sababu kutotazama chanzo ni kulifumbia macho tatizo!.

Kuna theory mbili za umaarufu, wengine wakiamini maarufu zaidi ni chama!, na wengine tukiamini maarufu zaidi ni watu!, mimi ni kundi linaloamini chama sii chama bali ni watu kwanza ndipo chama!.

Na hili ni tatizo hadi Chadema lipo, kuna watu ndani yenu wanawaabudia watu, ikitokea usiwe kwenye kundi la waabudiwa, then unajikuta una damu ya kunguni!.

Pasco.
 
Hebu tuache uongo, kati ya vyama hivi 4 vinavyounda UKAWA kipi maarufu kukizidi CDM?

Musizoee kuandika CDM kwani hakipo nchini na wagombea wote walidhaminiwa kwa muhuli huo wa CDM wameenguliwa kwenye kinyang'anyiro
 
Vikao gani ulikaa na wanachama wepi hata uje hapa usema eti wanachama m-mebariki ?!

Jukwaa hili unajua lina wanachama wangapi wanaounga mkono. Au kwako social media km JF ni jukwaa mhim kwa wale ambao hawawezi kufika pale ufipa. Tunapaza sauti huku huku na yatawafikia walengwa.
 
Wakuu,

1:Kuna watetezi wa Zitto hapa ambao ni genuine wanaona Zitto alionewa ingawa hawasemi kwamba alipewa barua kujulishwa makosa yakw

2:Kuna watetezi Genuine wa Chama hapa wanaotaka katiba ifuatwe na ukuu wa Taasisi uzingatiwe

3:Kuna watetezi wa Zitto hapa ambao sio genuine bali ni maadui wake na maadui wa Chadema.Ni maadui wa upinzani.Kazi ya kuchochea upande wanaoamua

4:Kuna wasiofungamana na upande wowote ila wanapenda haki na upinzani imara usio na doa na migogoro

5:Kuna wasiojua chochochote

6:Kuna ambao hawataki kabisa kuhoji ukweli wa hoja hii aliyoleta mleta mada na wapo kwenye hayo makundi yote hapo juu na hii inaweza kupelekea hata wanachama kukwaruzana

7:Kuna wahusika wakuu katika suala hili nao wako hapa hawatasema kwa ID zao halisi au wanafuatilia kwa karibu bila kujali credibility ya thread.

Kila mmoja awe genuine na azingatie haki na ubora wa mijadala sasa. I'm out!
Nimeguswa!....nimejiona kundi langu, na reserve comments zangu kwenye hili, kuepuka kunyoosheana vidole!.
Asante.
Pasco
 
"umoja ni nguvu utengano ni udhaifu" kumsamehe zito ni jambo jema lakini ni vizuri kutafakari kwa kina kabla ya kuamua hilo.
 
Nataka nikuhakikishie kwamba, nimejitahidi kusoma historia ya chama changu CHADEM kwa muda wa kutosha hasa matukio mbalimbali ya CHADEMA kama chaguzi za BAVICHA na taifa 2009,

Nimefatilia visa mbalimbali vya wanasiasa vijana mahiri waliokuwa CHADEMA kama Juju Ndanda, Kafulia, Machali, Mkosamali na mambo ya Zitto na kugombea uenyekiti, nimejiridhisha bila shaka kwamba kuna makundi yaliyoibuka chamani hapo awali, moja likimuunga mkono Mbowe na jingine Zitto, na kundi la Zitto lilikuwa ni la wahanga wa chaguzi za ndani ya chama pamoja na wahanga wa vyeo mbalimbali pale makao makuu,

Kutokana na hili CCM iliweza kujipenyeza kuleta migogoro. Nataka nikuhakikishie kwamba mgogoro uliokuwepo ulikuwa ni wa Zitto na Mbowe na sio wa Zitto na CHADEMA ila sisi wanachama tuliingia kichwakichwa kwa kuside upande mmoja bila kutaka suluhu, pia wanachama tumechangia kwa mchango mkubwa kukuza mgogoro huu.

Thumb up!
 
yanazungumzika haya,,,,,,,,,,,,,hatupaswi kugeuka nyuma mkumbukeni mke wa lutu....tumeshawashika pabaya hawa kijani sameheaneni wekeni tofauti zetu pembeni tusonge mbele........kumbukeni mko kwa ajili ya Tanganyika/Tanzania
 
Naomba kuweka msimamo wazi.Nisiulizwe ni msimamo wa chama au ni wa Molemo.

Kamwe Chadema haitamwabudu mwanachama wake mmoja kwa kumpigia magoti aliyeadhibiwa kwa makosa yake mwenyewe.

Ila chama kama baba haitafunga mlango kwa mtoto wake anayetaka kurudi kwa baba yake kuomba msamaha.Yeyote anayejutia madhambi yake anaruhusiwa na akubali kusikiliza maonyo ya baba kwake.

Ila Kamwe Chadema haitasikiliza mashinikizo yoyote kutoka kwa mtu yeyote hasa inapogundulika mashinikizo hayo yanatoka kwa maadui wa chama.

Chadema kwa sasa iko Imara kuliko wakati mwingine wowote.
 
huu ni ushauri wa bure kwa mh ZITO. DONT TURN BACK baada ya yote uliofanyiwa is better to stand firm kwan u hav nothing to lose.
UNAWEZA TU KURUDI ENDAPO UTAOMBWA MSAMAHA PUBLICLY KURESTORE UR REPUTATION ILIOKUWA ERODED
 
Wakuu,

1:Kuna watetezi wa Zitto hapa ambao ni genuine wanaona Zitto alionewa ingawa hawasemi kwamba alipewa barua kujulishwa makosa yakw

2:Kuna watetezi Genuine wa Chama hapa wanaotaka katiba ifuatwe na ukuu wa Taasisi uzingatiwe

3:Kuna watetezi wa Zitto hapa ambao sio genuine bali ni maadui wake na maadui wa Chadema.Ni maadui wa upinzani.Kazi ya kuchochea upande wanaoamua

4:Kuna wasiofungamana na upande wowote ila wanapenda haki na upinzani imara usio na doa na migogoro

5:Kuna wasiojua chochochote

6:Kuna ambao hawataki kabisa kuhoji ukweli wa hoja hii aliyoleta mleta mada na wapo kwenye hayo makundi yote hapo juu na hii inaweza kupelekea hata wanachama kukwaruzana

7:Kuna wahusika wakuu katika suala hili nao wako hapa hawatasema kwa ID zao halisi au wanafuatilia kwa karibu bila kujali credibility ya thread.

Kila mmoja awe genuine na azingatie haki na ubora wa mijadala sasa. I'm out!

Wewe leo unatia aibu tu hapa. Unaelekea kuyala matapishi yako. Angalau kwasasa umeyakaribia na umeshayanusa,ila unaona aibu maana ni mapema mno. unajua ni kwanini leo upo hivo;

1. wewe pamoja na kutumika kooote huaminiki na chama kama Zitto ambaye ulishiriki kumchafua kwa kiasi kikubwa

2. Wewe umejikuta ni majeruhi wa chaguzi za chama wakudumu hivyo hakuna sababu ya kuendelea kua radical dhidi ya Zitto

3. Unalijipenyeza kupitia kichaka cha IPTL/Escrow kumsogelea Zitto na kwa bahati nzuri ana ngozi ngumu na amekusitiri tu

4. Leo ungetamani Zitto arejee CDM kama kawaida na kufanya nae kazi, lkn bado unajiuliza uso wako utauficha wapi??

Nawaza tu kwa sauti!
 
Kwa hiyo unafikiri chama kinaweza kufanya maamuzi eti kwa sababu wewe au mimi nimeibuka huku kwenye mtandao na kudai kwamba sisi ni wana CDM na kutoa maagizo na kudai kwamba huo ndio msimamo wa wanachama wengi ! Sasa hicho kitakuwa chama au kilabu cha pombe !. Chama kinapotaka kujua mawazo ya wanachama wake, kuna taratibu zake na kamwe hakifanyi maamuzi yake kwa ku-base kwenye propaganda za JF, MF, facebook au mitandao mingine.......
Jukwaa hili unajua lina wanachama wangapi wanaounga mkono. Au kwako social media km JF ni jukwaa mhim kwa wale ambao hawawezi kufika pale ufipa. Tunapaza sauti huku huku na yatawafikia walengwa.
 
Majina mliomuita ndio yanampa changamoto yaani we uitwe msaliti mroho wa madaraka, mla rushwa halafu wakwambie umesamehewa we uchekelee tu! Na kweli watamuomba radhi.
kwe kabisa,hawezi kuitwa kama mbwa alafu akubali.tunajua kusamehana kupo lkn aliitwa majina mengi mabaya hata SUGU alimtukana.
 
Naona taratibu unajidhihirisha wewe ni nani......ninaamini ukiendelea kwa speed hii, colours zako halisi zitaonekana !

Wewe leo unatia aibu tu hapa. Unaelekea kuyala matapishi yako. Angalau kwasasa umeyakaribia na umeshayanusa,ila unaona aibu maana ni mapema mno. unajua ni kwanini leo upo hivo;

1. wewe pamoja na kutumika kooote huaminiki na chama kama Zitto ambaye ulishiriki kumchafua kwa kiasi kikubwa

2. Wewe umejikuta ni majeruhi wa chaguzi za chama wakudumu hivyo hakuna sababu ya kuendelea kua radical dhidi ya Zitto

3. Unalijipenyeza kupitia kichaka cha IPTL/Escrow kumsogelea Zitto na kwa bahati nzuri ana ngozi ngumu na amekusitiri tu

4. Leo ungetamani Zitto arejee CDM kama kawaida na kufanya nae kazi, lkn bado unajiuliza uso wako utauficha wapi??

Nawaza tu kwa sauti!
 
Mpaka leo naamini hakuna CHADEMA bila ZITTO.
Kweli kabisa.alipachikwa majina mengi hata SUGU alimtukana,alafu aitwe kama Mbwa akubali!!zinatakiwa busara pande zote.kwanza mimi akirudi kwa hawa WACHAGA itaniuma sana.
 
Chama makini kama CDM hakiwezi kubabaishwa na watu wapuuzi kama Zitto et al......

Naomba kuweka msimamo wazi.Nisiulizwe ni msimamo wa chama au ni wa Molemo.

Kamwe Chadema haitamwabudu mwanachama wake mmoja kwa kumpigia magoti aliyeadhibiwa kwa makosa yake mwenyewe.

Ila chama kama baba haitafunga mlango kwa mtoto wake anayetaka kurudi kwa baba yake kuomba msamaha.Yeyote anayejutia madhambi yake anaruhusiwa na akubali kusikiliza maonyo ya baba kwake.

Ila Kamwe Chadema haitasikiliza mashinikizo yoyote kutoka kwa mtu yeyote hasa inapogundulika mashinikizo hayo yanatoka kwa maadui wa chama.

Chadema kwa sasa iko Imara kuliko wakati mwingine wowote.
 
Naomba kuweka msimamo wazi.Nisiulizwe ni msimamo wa chama au ni wa Molemo.

Kamwe Chadema haitamwabudu mwanachama wake mmoja kwa kumpigia magoti aliyeadhibiwa kwa makosa yake mwenyewe.

Ila chama kama baba haitafunga mlango kwa mtoto wake anayetaka kurudi kwa baba yake kuomba msamaha.Yeyote anayejutia madhambi yake anaruhusiwa na akubali kusikiliza maonyo ya baba kwake.

Ila Kamwe Chadema haitasikiliza mashinikizo yoyote kutoka kwa mtu yeyote hasa inapogundulika mashinikizo hayo yanatoka kwa maadui wa chama.

Chadema kwa sasa iko Imara kuliko wakati mwingine wowote.

Safi sana! Nawe pia unakaribia kuyala matapishi yako. umeshayanusa na kulamba kwa mbaaali.

Nikikumbuka matope uliyowahi kumsiliba Mh.Zitto, nabaki kutahamaki tu.

Najua tatizo lilikua ni uchaguzi maana alikua ni tishio hasa kwenye uenyekiti. Na angeshinda ule ukurugenzi si ungeusikia redioni?

Anyway, ushapata ulichokua unakilinda mnalegeza misimamo.
 
Back
Top Bottom