OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,326
- 104,263
kwa masharti hapanaYaliyopita so ndwele tugange yaliyopo na yajayo.
kwa masharti hapanaYaliyopita so ndwele tugange yaliyopo na yajayo.
You just hit the nail on the head!
Kuna sehemu nimeeleza katika maudhui kama uliyoeleza.
Kwa sasa wafuasi wa Mhe. Zitto wanaweweseka kwa sababu hawafahamu msimamo wake.
Kuna wengine hapa wanapiga kelele wakisema hawataki Zitto arudi CHADEMA lakini hawafahamu kuwa wanaishi katika maneno ya Mbowe na Dkt. Slaa.
Siku Mbowe au Dkt. Slaa wakubaliane kuyamaliza na Zitto, hata kauli za wale waliokuwa wanapinga zitabadilika.
Tutawasikia wakisema, Oooh, hakuna adui wa kudumu au rafiki wa kudumu.
Chadema mwombeni radhi kwanza kamanda Zitto halafu naye atawaomba radhi siasa haina adui wa kudumu.Mtu huyu ni jembe kila chama kinamhitaji lakini ana msimamo hajaoa wala kuolewa na mke/mume mwingine kipindi chote cha mgogoro.
Salama yako ni hii kauli yako kwenye bold, vinginevyo ningejua tunajadili na watoto waliozaliwa leo!.
Maadani ni hukumbuki vizuri, then its ok, ukitulia utakumbuka!, ila ingekuwa huujui mchakato huo, hapo tungeelimishana!, ila kwa kukusaidia tuu, Zitto hajaondolewa Chadema bali alivuliwa nyadhifa zake zote ndani ya Chadema kinyume cha sheria, taratibu na kanuni za Chadema!.
Pasco.
You just hit the nail on the head!
Kuna sehemu nimeeleza katika maudhui kama uliyoeleza.
Kwa sasa wafuasi wa Mhe. Zitto wanaweweseka kwa sababu hawafahamu msimamo wake.
Kuna wengine hapa wanapiga kelele wakisema hawataki Zitto arudi CHADEMA lakini hawafahamu kuwa wanaishi katika maneno ya Mbowe na Dkt. Slaa.
Siku Mbowe au Dkt. Slaa wakubaliane kuyamaliza na Zitto, hata kauli za wale waliokuwa wanapinga zitabadilika.
Tutawasikia wakisema, Oooh, hakuna adui wa kudumu au rafiki wa kudumu.
Pasco tukisema na wewe umechagua side kabla ya kujua detail ya pande zote au angalao kuweka tahadhari "For the least info niliyonayo"
Halafu ondoa huo ushauri wako wa chama kumnyenyekea mtu.Huo ni ushauri mbaya kabisa kati ya ushauri niliowahi kukutana nao siku za karibuni.
Yalikuwa maamuzi ya kamati kuu si ya Mbowe na Slaa pekee,
By the way watamsamehe kwa makosa yapi ? Kwani Zitto amekwambia amekosa ?
Mwandishi kapotosha sana me tena nakumbuka nimeikuta hii news fb tena zzk akisema anashangaa wanao sema yeye yupo ACT
Nataka nikuhakikishie kwamba, nimejitahidi kusoma historia ya chama changu CHADEM kwa muda wa kutosha hasa matukio mbalimbali ya CHADEMA kama chaguzi za BAVICHA na taifa 2009,
Nimefatilia visa mbalimbali vya wanasiasa vijana mahiri waliokuwa CHADEMA kama Juju Ndanda, Kafulia, Machali, Mkosamali na mambo ya Zitto na kugombea uenyekiti, nimejiridhisha bila shaka kwamba kuna makundi yaliyoibuka chamani hapo awali, moja likimuunga mkono Mbowe na jingine Zitto, na kundi la Zitto lilikuwa ni la wahanga wa chaguzi za ndani ya chama pamoja na wahanga wa vyeo mbalimbali pale makao makuu,
Kutokana na hili CCM iliweza kujipenyeza kuleta migogoro. Nataka nikuhakikishie kwamba mgogoro uliokuwepo ulikuwa ni wa Zitto na Mbowe na sio wa Zitto na CHADEMA ila sisi wanachama tuliingia kichwakichwa kwa kuside upande mmoja bila kutaka suluhu, pia wanachama tumechangia kwa mchango mkubwa kukuza mgogoro huu.
Hayo ni mawazo yako na kwa kweli sikubaliani nayo........
Kama wewe na baadhi ya wanachama wengine mliingia kichwa kichwa mimi sikuingia kichwa kichwa......Nadhani utakubalina na mimi kwamba hata kamati kuu ambayo ndiyo iliyomvua vyeo Zitto haikuingia kichwa kichwa !
Bila hata kwenda kwenye details nyingine....ambazo naamini unazijua, nikuulize swali moja tu : Hivi unafikiri Zitto alianzisha ACT ili kupambana na CCM au Chadema ?