Kwa wasi wasi uko wapi chama si kilikua sahii kwenye maamuzi wadau. Hivyo hapana shida uhakika si upo wa yeye kuomba radhi? Tofauti na hapo means chama kikifabya ghilibu uonevu kwenye maamuzi
Huu Uzi haukuwa na maudhui yanayofanana na huu hapa,, moderator kwa nn umeunganisha hapa? Huu Uzi unampa ujumbe wa wazi Mh Zitto na ule awali unahabarisha kwa hiyo maudhui yalikuwa hayafanani so hakukuwa na maana yeyote ya kuunganisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.