mtugani wa wapi huyo
JF-Expert Member
- Dec 5, 2012
- 1,239
- 1,475
Kama hajui kisa lake kwa nini asibainishiwe tu akalijua au wanaficha nini
hii inaweza tafsiriwa kuwa alionewa
nadhani ni wakati muafaka wa kumbainishia makosa yake ayajue ili Ayatubie
na kama hana basi Chama kimtubie kwa kumuonea
Huo sasa ndo utakuwa Muafaka (Msamaha) mzuri na Maridhiano Mazuri
na si Kufunika Kombe..,,,
hii inaweza tafsiriwa kuwa alionewa
nadhani ni wakati muafaka wa kumbainishia makosa yake ayajue ili Ayatubie
na kama hana basi Chama kimtubie kwa kumuonea
Huo sasa ndo utakuwa Muafaka (Msamaha) mzuri na Maridhiano Mazuri
na si Kufunika Kombe..,,,