Wakuu kuna tetesi zimenifikia jioni hii toka kwa mtu wa karibu na Mh.Zitto,kuwa aliyekuwa Kamanda kabla ya kupokonywa vyeo,ameandika barua nzito kwnda kwa katibu wake akiomba msamaha.Mtonyaji huyo nikamuuliza kuhusu tetesi kuwa Zitto anajiandaa kufanya mikutano kinyume na zuio la chama,mtonyaji alijibu kifupi ni kipi alichowahi kufanya ZZK kikafika mwisho na kufanikiwa.Mods msituzibe midomo kuhusu ZZK
Zitto hawezi kuomba msamaha hana hulka ya kujishusha ni mfano wa watu wanaodhani wako sahihi wakati wote.
Wakuu kuna tetesi zimenifikia jioni hii toka kwa mtu wa karibu na Mh.Zitto,kuwa aliyekuwa Kamanda kabla ya kupokonywa vyeo,ameandika barua nzito kwnda kwa katibu wake akiomba msamaha.Mtonyaji huyo nikamuuliza kuhusu tetesi kuwa Zitto anajiandaa kufanya mikutano kinyume na zuio la chama,mtonyaji alijibu kifupi ni kipi alichowahi kufanya ZZK kikafika mwisho na kufanikiwa.Mods msituzibe midomo kuhusu ZZK
Zitto hawezi kuomba msamaha hana hulka ya kujishusha ni mfano wa watu wanaodhani wako sahihi wakati wote.
Zitto hawezi kuomba msamaha hana hulka ya kujishusha ni mfano wa watu wanaodhani wako sahihi wakati wote.
Wakimsamehe mimi narudisha kadi yangu
Viumbe wote wanaweza kutubu lakini sio shetani
Ndugu yangu sangara zamani tuliamini na ndivyo ilivyokuwa wachawi walikuwa wazee tu sikuhizi hata vijana usishangae sanahahahahahahahaha sixgatessssssssssssssss. sijawahi kuona mwanaume wa ajabu kama huyu jamaa. eti natoa masaha ishirini na nne nini nini sijui kisipofanyika nafanya nini ni nini hahahahahahahah
Kweli Maccm hamuwezi kuzibwa midomo. Mmeona nyota yenu imefifia mnaanza kuiwasha tena. Mnafikiri kuwa CDM tuna shida na mtu? Kwetu Chama kwanza mtu kesho.
ZZK hajanyimwa kuandika barua, aende hata TBCCM akapewe kipindi kule cha kujielezea, hatuna shida naye. Ajiunge upya hatuna shida naye, lakini, hapati ushirika tena humu. Hakuna kiongozi wa kubishana naye. Amemwona Shibuda? Nani anahangaika na ubunge wake? Tupa kuleeee.
ZZK is no longer an issue to us
Unamaanisha MM ni shetani?