Isije akarudishwa akaanza kutamba tena kuwa yeye ni zaidi ya CHADEMA!Ila kwa hulka yake sidhani kama atafanya hivyo.Na wale washauri wake walikuwa wakimdanganya kuwa yeye ni zaidi ya CHADEMA wako wapi?
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Naamini Zitto kwa akili yake ndogo(narrow, jinga) akirudishwa baada ya muda atakuja kusema yeye ni zaidi ya CDM.
Jiulize alitoka wapi na ni nini alichokuja kukifanya wakati chama hakijafikia hata 60% target iliyokusudiwa??
Hakafai haka katoto .
Last edited by a moderator: