Zitto ni kiboko ya chadema.
Obsession
wewe kisebengo Zitto sio wa kumwamini anaweza kukuuza anytime.hujapata somo kwa Mtela,Shonza nk
Zitto ni kiboko ya chadema.
Bora yako wewe utarudisha kadi. Mimi nitakunya barabarani saa sita mchana kisha naipachika kadi juu ya kimba!
Mkuu unapata faida gan kujitungia hadthi zisizo na hata chembe ya ukweli?? Hapo chadema ni nan anaesema ukweli?
Chadema mnachezea hela zenu binafsi kwenda kupambana na kivuli cha zito mikoani, nawauliza tena mkipewa nchi mtazionea huruma hizo fedha za walipa kodi??
Hiki chama kinatumia nguvu kubwa na kinang'a ng'ania kuwa karibu na watu basi kina tatizo watu hawawapendi.
Biashara na Zzk Chadema wameshamalizana nae long timeAkifanya hivyo,itakuwa vyema sana. Bado ana nafasi ya kusonga mbele na wenzake chamani
Mzee Tupatupa
Biashara na Zzk Chadema wameshamalizana nae long timeAkifanya hivyo,itakuwa vyema sana. Bado ana nafasi ya kusonga mbele na wenzake chamani
Mzee Tupatupa
Mimi ni mmoja wa watu waliotaka Zito afukuzwe, lkn kama ameomba msamahani basi arudishwe kundini. Hapa Busara za Dr Slaa na historia yake ya upadre lazima ipimwe. Mtu akitubu anasemehewa hata km dhambi zake ni kubwa
pale makao makuu chadema kuna kiwaanda cha kutengeneza uwongo. Haaah!!!
Zitto ni ngumi jiwe
Hizi tabia za kujitungia hadithi, haraka haraka mna-cast nameless characters wanaobeba dhima zenye lengo la kubrudisha jamvi lakini hazina hata chembe ya ukweli kila kukicha zinazidi. Hii ni alama ya obsession, ambayo inawasumbua vijana wengi wa chadema.
Mkuu tunashukuru kwa hekaya yako hii, Zitto sio mwepesi hivi, we ve pledge for allegiance kuwa vita iliyopo ni ya kudai haki, vita dhidi ya wanademocrasia na wahafidhina, itabakia hivyo.
Vifaranga kaeni at the back, then watch our move mna muda mfupi katika limelight, but our political future is soo bright.