Zitto aandika barua CHADEMA kuomba msamaha

Zitto aandika barua CHADEMA kuomba msamaha

Status
Not open for further replies.
wakuu kuna tetesi zimenifikia jioni hii toka kwa mtu wa karibu na mh.zitto,kuwa aliyekuwa kamanda kabla ya kupokonywa vyeo,ameandika barua nzito kwnda kwa katibu wake akiomba msamaha.mtonyaji huyo nikamuuliza kuhusu tetesi kuwa zitto anajiandaa kufanya mikutano kinyume na zuio la chama,mtonyaji alijibu kifupi ni kipi alichowahi kufanya zzk kikafika mwisho na kufanikiwa.mods msituzibe midomo kuhusu zzk

nani kakudanganya kuwa una hitaji kibali cha chama kufanya mikutano?

Kibali cha mikutano kinaombwa polisi kwaajili ya usalama.

Hii nchi ni huru kabisa.

Bavicha ni kiwanda cha uongo.
 
Haya mambo yalipofika akiomba msamaha now atakuwa chizi na hiyo PhD hata Mimi sitosoma.Namaanisha elimu yake haijamsaidia kuona karibu.
 
Asamehewe na ajirekebishe. Ajifunze madhara ya kutumika vibaya.
 
Hizi tabia za kujitungia hadithi, haraka haraka mna-cast nameless characters wanaobeba dhima zenye lengo la kubrudisha jamvi lakini hazina hata chembe ya ukweli kila kukicha zinazidi. Hii ni alama ya obsession, ambayo inawasumbua vijana wengi wa chadema.

Mkuu tunashukuru kwa hekaya yako hii, Zitto sio mwepesi hivi, we ve pledge for allegiance kuwa vita iliyopo ni ya kudai haki, vita dhidi ya wanademocrasia na wahafidhina, itabakia hivyo.

Vifaranga kaeni at the back, then watch our move mna muda mfupi katika limelight, but our political future is soo bright.

Mageti sita.
Tulia dawa iingie vizuri...
 
Zitto akitaka msamaha, lazima kwanza aeleze waziwazi jinsi CCM walivyomtumia; tena afanye hivyo kwa njia ya mikutano ya hadhara bila kuficha ukweli. Baada ya hapo nguvu ya umma ndiyo itakayoamua.
 
Hizi tabia za kujitungia hadithi, haraka haraka mna-cast nameless characters wanaobeba dhima zenye lengo la kubrudisha jamvi lakini hazina hata chembe ya ukweli kila kukicha zinazidi. Hii ni alama ya obsession, ambayo inawasumbua vijana wengi wa chadema.

Mkuu tunashukuru kwa hekaya yako hii, Zitto sio mwepesi hivi, we ve pledge for allegiance kuwa vita iliyopo ni ya kudai haki, vita dhidi ya wanademocrasia na wahafidhina, itabakia hivyo.

Vifaranga kaeni at the back, then watch our move mna muda mfupi katika limelight, but our political future is soo bright.

wewe kisebengo Zitto sio wa kumwamini anaweza kukuuza anytime.hujapata somo kwa Mtela,Shonza nk
 
hizi tabia za kujitungia hadithi, haraka haraka mna-cast nameless characters wanaobeba dhima zenye lengo la kubrudisha jamvi lakini hazina hata chembe ya ukweli kila kukicha zinazidi. Hii ni alama ya obsession, ambayo inawasumbua vijana wengi wa chadema.

Mkuu tunashukuru kwa hekaya yako hii, zitto sio mwepesi hivi, we ve pledge for allegiance kuwa vita iliyopo ni ya kudai haki, vita dhidi ya wanademocrasia na wahafidhina, itabakia hivyo.

Vifaranga kaeni at the back, then watch our move mna muda mfupi katika limelight, but our political future is soo bright.

mkuu sixgates huu ni utunzi kutoka kiwanda cha ufipa chini ya bavicha.
 
Last edited by a moderator:
Isije akarudishwa akaanza kutamba tena kuwa yeye ni zaidi ya CHADEMA!Ila kwa hulka yake sidhani kama atafanya hivyo.Na wale washauri wake walikuwa wakimdanganya kuwa yeye ni zaidi ya CHADEMA wako wapi?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
1017138_654413007948444_6478364_n.jpg
 
Hizi tabia za kujitungia hadithi, haraka haraka mna-cast nameless characters wanaobeba dhima zenye lengo la kubrudisha jamvi lakini hazina hata chembe ya ukweli kila kukicha zinazidi. Hii ni alama ya obsession, ambayo inawasumbua vijana wengi wa chadema.

Mkuu tunashukuru kwa hekaya yako hii, Zitto sio mwepesi hivi, we ve pledge for allegiance kuwa vita iliyopo ni ya kudai haki, vita dhidi ya wanademocrasia na wahafidhina, itabakia hivyo.

Vifaranga kaeni at the back, then watch our move mna muda mfupi katika limelight, but our political future is soo bright.

zitto alikuwa na ndoto za kuwa mwenyekiti was chama na wewe una ndoto gani?
 
wafuasi wake wanasema. Zitto ni gogo la woodi haliishi harufu....
sasa akiomba msamaha wao watajisikieje? wataficha wapi sura?
CC : sixgates &co
 
Last edited by a moderator:
nani kakudanganya kuwa una hitaji kibali cha chama kufanya mikutano?

Kibali cha mikutano kinaombwa polisi kwaajili ya usalama.

Hii nchi ni huru kabisa.

Bavicha ni kiwanda cha uongo.

Wanachama tumezuiwa kushiriki na Zito,na kwa kuwa intelijensia inaonesha anashiriki na CCM ktk mikutano,at the same tym anasubiri huruma ya baraza kuu,huoni kama atajichanganya zaidi
 
Ntamdharau sana! Mashitaka yote 11 yalikuwa yakipuuzi na kitoto sana! Neno usaliti limechafuliwa na kina tundu lisu mpaka limekosa maana na kutia kinyaa kumuita mtu! Msamaha kwa lipi?! Kama na noma na iwe noma! Chama cha siasa ni chombo cha uma.kamwe, na tundu lisu anajua hakiwezi kuendeshwa kwa katiba yake tu halafu eti taratibu za nchi zinazolinda mantiki ya chama cha siasa na haki za watu wake zikawekwa pembeni.kama noma na iwe noma
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom