Dua
JF-Expert Member
- Nov 14, 2006
- 3,236
- 675
ZANU -PF wanasema kulikuwa na error kwenye kuhesabu kura ambazo hazitangazwi, hii error ni kwa sababu wameshindwa vibaya sana kwa hivyo kupitia magazeti ya serikali wanaomba re-run. Mchemsho wa hali ya juu. Wanajisahau na kufikiri itawezekana.
I can guarantee you serikali itakuwa ungovernable ngoja tusubiri trick za mwisho za mfa maji.
Kama akifanikiwa wengi watakufa hasa wale waliokuwa kwenye kuhesabu kura na wasimamizi wengi wa uchaguzi ambao walikuwa wanapenda kuona haki inatendeka.
Full story hapa
Mugabe party demands poll recount
I can guarantee you serikali itakuwa ungovernable ngoja tusubiri trick za mwisho za mfa maji.
Kama akifanikiwa wengi watakufa hasa wale waliokuwa kwenye kuhesabu kura na wasimamizi wengi wa uchaguzi ambao walikuwa wanapenda kuona haki inatendeka.
Full story hapa
Mugabe party demands poll recount
Zimbabwean President Robert Mugabe's party has asked electoral officials to delay the results of the presidential poll and to recount votes, reports say.
The state-run Sunday Mail newspaper said the governing Zanu-PF party requested a recount because there had been "errors and miscalculations".
The paper also quoted a senior minister as saying it had rejected an opposition approach to form a unity government.
On Saturday, the opposition accused President Mugabe of "preparing a war". Movement for Democratic Change (MDC) leader Morgan Tsvangirai warned that "militants are being rehabilitated" and troops deployed ahead of a possible second round run-off in the presidential poll, which he insists he won.
Mr Tsvangirai also claimed that the country's central bank was printing money "for the finance of violence".
He called on Mr Mugabe to enter a dialogue to prepare for a peaceful transition. Meanwhile, the High Court is on Sunday due to hear an MDC petition demanding that the Zimbabwe Electoral Commission (ZEC) declare a winner. ........................................................