Ze Utamu blogger under arrest?

Ze Utamu blogger under arrest?

Status
Not open for further replies.
Mkuu Invisible naskia hata watu walio kuwa wakicomment tutafuatiliwa sasa sijui hii ishu imekaaje maana hata serikali naona haijatamka lolote au wameshaona jamaa hana kesi ya kujibu?

Labda Serikali bado inatafuta kosa lake ndio maana imekaa kimya.
 
Kwa maoni yangu ninaitaka serikali iendelee na jitihada zozote zitakazowezekana kuhakikisha mmiliki wa mtandao wa 'ze utamu' anafikishwa mbele ya sheria hata ikibidi katika nchi anayoishi. Mimi binafsi sijakashfiwa lakini yaliyokuwamo humo ni wazi yamewapa usumbufu watu wengi pamoja na familia zao. Amewaumiza watu wengi, ametumia devices alizokuwanazo kwa kuwashambulia watu ambao hawakuweza kujikinga dhidi ya maovu yake.
 
Mkuu Invisible naskia hata watu walio kuwa wakicomment tutafuatiliwa sasa sijui hii ishu imekaaje maana hata serikali naona haijatamka lolote au wameshaona jamaa hana kesi ya kujibu?

Ni bora muhusika ataje wote waliokuwa wanashirikiana naye katika uchafu huo. Kama ulituma picha ama ulitoa comment basi na wewe ni moja wao, ni lazima mkanyee debe ukonga.
Wazazi wenu wamelipa ada ili msome shule kwa manufaa mema ya dunia na wala si kufanya uchafu.
 
kweli anastahili adhabu tena kubwa sana ikiwa ni pamoja na kumuomba mheshimiwa JK samahani na watanzania kwa ujumla ikiwezakana ikiwa ni pamoja na kifungo atobolewe na macho kabisa.hata kama ni mtoto wa kigogo tena hao ndio wanaharibu baadhi ya viongozi waadilifu ktk nchi kwa chuki za wazazi wao na kiongozi husika.nikweli hata mimi nimezisoma ktk chazo cha habari fulani ingawa wahusika wakutupa uhakika wa hapa nchini (manumba) na wa mahusiano ya nchi za nje nchini uk. baadhi ya watuhumiwa wakiwa marekani
 
Acha kutisha watu bana...
Unamaana na wewe ulikuwa unachungulia sio?


Wale wanajitokeza hadharani kuwa walikuwa wanacomment huko watachukuliwa hatua fupi fupi ikiwepo kupewa onyo na faini.

Kwa hiyo basi washauri wenzio waliokuwa wakicomment, kutuma picha na hata kusoma tu wajitokeze hadharani through forums ili waweze kufikiriwa na hatimaye kupunguziwa adhabu...... usiamini hili!
 
Wale wanajitokeza hadharani kuwa walikuwa wanacomment huko watachukuliwa hatua fupi fupi ikiwepo kupewa onyo na faini.

Kwa hiyo basi washauri wenzio waliokuwa wakicomment, kutuma picha na hata kusoma tu wajitokeze hadharani through forums ili waweze kufikiriwa na hatimaye kupunguziwa adhabu...... usiamini hili!

Ahh UM,,

Nakuona tangu mada hii ianze kiroho kwaaatu. meno yote thelathini na nje yote mbili...lol
 
Kuna mtandao mkubwa sana utakaoshtakiwa, watoa comments, wapiga picha, pamoja na waliokuwa wakii-visit ile blog najua kuna wana JF wengi tu watakao simamishwa kizimbani.
 
Kuna mtandao mkubwa sana utakaoshtakiwa, watoa comments, wapiga picha, pamoja na waliokuwa wakii-visit ile blog najua kuna wana JF wengi tu watakao simamishwa kizimbani.

Acheni ze komedi mazee..kuvisit site hata hao law enforcers wenyewe itabidi wajitie pingu..maana walienda kule kujua kunani kwa hiyo wasituyeyushe wala nini..
 
Kuna mtandao mkubwa sana utakaoshtakiwa, watoa comments, wapiga picha, pamoja na waliokuwa wakii-visit ile blog najua kuna wana JF wengi tu watakao simamishwa kizimbani.


Maneno mazito sana hayo mkuu, hapo tuko pamoja.

Wakiwamo Yo Yo, Mwanakijiji, FMES.....victim wa utamu watapotea mmoja mmoja humu.....wakitaka mwanasheria UWIANO MAALUM NIPO, $ 400 kwa saa, hii ni kindugu tu kutokana na undugu, upendo na mshikamano uliokuwepo hapa JF family.
 
hahahaha sasa na wale waliokuwa wamepigwa za utupu tutawafanyaje nao? Maana najua ni kosa la kisheria kupiga picha za utupu sasa itabidi nao tuwasimamishe kizimbani.
 
.....wakitaka mwanasheria UWIANO MAALUM NIPO, $ 400 kwa saa, hii ni kindugu tu kutokana na undugu, upendo na mshikamano uliokuwepo hapa JF family.

dah naami Ze Utamu sasa atawatengenezea watu ulaji wa kufa mtu kuanzia watengeneza mashtaka wapelelezi kisha mahakimu na wansheria wenye roho ya tamaa kama wewe UM hahaha
 
dah naami Ze Utamu sasa atawatengenezea watu ulaji wa kufa mtu kuanzia watengeneza mashtaka wapelelezi kisha mahakimu na wansheria wenye roho ya tamaa kama wewe UM hahaha


Hii case ni ngumu sana, unatakiwa uwe na mwanasheria wa uhakika. Kwa wale wote wanaojijua ni victim wa hili sakata tuwasiliane as soon as possible kuweka mambo sawa mapema, haraka na upesi.
 
MMhhh lakini hii blog kwa namna moja au nyingine ilikuwa inawasaidia wale wajasiliamali wangoni kujua wapi pa kushika na wapi pa kuacha...kwani iliweza kuanika wale ambao wanasadikiwa kuwa wameathirika na bado waliendelea kugawa vijapani kwa ungoni...
 
Hii case ni ngumu sana, unatakiwa uwe na mwanasheria wa uhakika. Kwa wale wote wanaojijua ni victim wa hili sakata tuwasiliane as soon as possible kuweka mambo sawa mapema, haraka na upesi.

Wewe ni stalker tu..huna lolote..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom