Galamtogela
Senior Member
- Aug 25, 2013
- 102
- 27
iitwe wavaa vipedo hospital
na wewe unaakili za ndugu yako KAPUNYANGA . Tukiangali vinguo wanavyo vaa dada zenu na mama zenu makanisani ndio stara ile, kuvaa vimini na visuluari vya kubana eti munamuomba Mungu .shame upon you all. Halafu mmechanganyika jinsia KE na ME . Huyo Mungu mnayemuomba mko uchi ni wa haki kweli? Msubiri jahamu ndiyo mafikio yenu.