Ishmael
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 15,039
- 6,015
Mbona vibanda vipo vingi tu vimejengwa bila ya msaada wa Mungu wenuAjabu ni Islamic Foundation wamejenga bila ya MoU na serikali.
Aidha wamefanya bila ya kujengewa na Wakoloni waliotumia pesa za rasilimali na kodi za Watanganyika wote.