MNYISANZU
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 7,048
- 1,102
Jengeni hospital Kama KCMC au Bugando ndio niwape hongera otherwise nyie ni primitive and barbaric religion.hiyo yote ni gere tu. tupe ongera zetu inakukereketa nini?
Jengeni hospital Kama KCMC au Bugando ndio niwape hongera otherwise nyie ni primitive and barbaric religion.hiyo yote ni gere tu. tupe ongera zetu inakukereketa nini?
Hpngereni sana.... Kikubwa zaidi ni huduma na ajira kutolewa kwa wote bila kujali dini
Wewe boya badala ya kuonesha vifaa vya kimaabara na facility za kisasa wewe unatuonesha jengo ambalo halifikii hata hadhi ya jengo nililomjengea kimada wangu!!
Rubbish thread kutoka kwa terrorist mind.
Kwa kuwa umeshindwa kunipa tofauti basi Mimi naendelea kuamini Uislam na Ugaidi ni two sides of the same coin. Ni identical twins.MNYISANZU unajua hadi sasa hivi hakuna standard definition ya ugaidi? Kila mtu anautafsiri ugaidi kwa mtazamo wake. Sidhani kama ni sahihi kuufananisha uislam na ugaidi mkuu.
Kwa kuwa umeshindwa kunipa tofauti basi Mimi naendelea kuamini Uislam na Ugaidi ni two sides of the same coin. Ni identical twins.
Waislamu mnajenga kibanda kama choo cha stend mnaita modern dispensary. wakristo walianza zamani kabla hata mkoloni hajatia mguu tz. Angalia Bugando Mz. KCMC Moshi. Bumbuli Lushoto. Teule Muheza jamani mifano ni mingi hata Mt zipo.
Kwa niaba ya wa TZ wote. tunaipongeza ISLAMIK FOUNDATION kwa kujenga jengo la kisasa kabisa litakalotumika kama zahanati ya kisasa huko Masasi. Big up Islamic foundation. Ila nawaasa wajenge hospitali kama Bugando iwe ya rufaa kwa mikoa yetu ya Lindi .Mtwara na Ruvuma iliyosahauliwa na serikali yetu tukufu ya ccm. naunga mkono ujenzi kwa asilimia mia mbili.
Wanaukumbi.
The Islamic Foundation wanaelekeza mapambano kwenye elimu na kujenga vituo vya afya kwa ajili ya kuwasaidia Watanzania wote bila kujali itikadi za kidini.
Mwenyekiti Aref Nahdi akikagua na kupata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Mtwara Shk Yusuf Shaban kumalizika kwa ujenzi wa Zahanati mpya ya kisasa iliojengwa na The Islamic Foundation wilayani Masasi mkoani Mtwara.
Wanaukumbi.
The Islamic Foundation wanaelekeza mapambano kwenye elimu na kujenga vituo vya afya kwa ajili ya kuwasaidia Watanzania wote bila kujali itikadi za kidini.
Mwenyekiti Aref Nahdi akikagua na kupata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Mtwara Shk Yusuf Shaban kumalizika kwa ujenzi wa Zahanati mpya ya kisasa iliojengwa na The Islamic Foundation wilayani Masasi mkoani Mtwara.
Wewe boya badala ya kuonesha vifaa vya kimaabara na facility za kisasa wewe unatuonesha jengo ambalo halifikii hata hadhi ya jengo nililomjengea kimada wangu!!
Rubbish thread kutoka kwa terrorist mind.