Zahanati mpya ya kisasa iliojengwa na The Islamic Foundation wilayani Masasi mkoani Mtwara

Status
Not open for further replies.
Mnakumbuka shuka kumekucha!! Mboba hayo ni ya kawaida sana kwa ndugu zenu wa upande wa pili?
Wakianza kutaja shule na hospitali na zahanati zinazohudumia watanzania wote bila kijali dini si tutakesha tukihesabu?? Hakuna cha ajabu hapo
 
Udini kaleta mleta maada. Hii si zahanati tu kama taasisi zinazotoa huduma kwa umma ama kwa faida au bila faida? Kulikuwa na haja gani ya kunadi imejengwa na Islamic Foundation? Nobody gives a f'uck nani kajenga, na ile kutaja eti inatoa huduma bila kujali "itikadi au dini" is bull.shit, kwani hiyo ndiyo sheria ya nchi, na siyo Waislamu wajenga zahanati walioamua.

hina kuhusu nini?
 
hiyo yote ni gere tu. tupe ongera zetu inakukereketa nini?

Gere ya nini ndugu yangu? Almost kila parokia ina zahanati achilia mbali hospitali. Nenda Unguja ukaone masista wanavyohudumia ndugu zenu kwenye ile hospitali ya katoliki kule shamba..
 
Kwani Islamic Foundation wamezuiwa kuingia MoU na Serikali? Mbona Aga Khan Foundation na hata Hindu Mandal wanazo, tena za miaka mingi sana?

Mleta maada ndiyo mdini. Mimi nikitaka kununua misumari au spea za gari, naenda duka lenye bei nafuu kulingana na pochi yangu, na siangalii kama mwenye duka ni Muislamu, Baniani, au Mkristo. Vivyo hivyo, kama natafuta huduma ya afya, unaangalia hospitali, zahanati, au hata farmasi gani naweza kukupatia huduma hiyo kwa kadiri ya mazingira yako kimaisha, na siyo dini ya mwenye huduma au biashara. Hatujafika hadi watu kunadi huduma au biashara kutokana na imani ya wamiliki

mbona we ni mvivu wa kufikiri ameleta udini kivipi? Sasa ulitaka aseme hiyo zahanati imejengwa na nani? Watu wenye udini ndio hao ndugu zako wanaofananisha na choo. Shida hapo kwa sababu inamilikiwa na waislam .sisi hatubebwi kama nyinyi wakiristo kama sio MoU hamna lolote halafu mnajifanya mnamfuta kristo. Yesu wa kweli hakuwa na roho mbaya kama zenu kuita zahanati ni choo. Hata Huyu Yesu hawazi kukubebeeni hizo dhambi kama mnavyo amini.
 
Jaman kweli mafilauni kidogo wamejitahidi kujenga japo kibanda cha m pesa nawashauli waje pande za kafili city waone huduma za kisasa kwa jamii. Na wao wanapata daile
 
Kwa sasa hivi inakutosha kuwa Waislamu waliomba na kukataliwa.

Hiyo si sababu. Kama Islamic Foundation walikataliwa, basi wangefanya jitihada kuendana na masharti ya Serikali ili nao wakubaliwe, na siyo kuishia kuwashambulia Wakatoliki tu kila siku sababau ya MoU wakati ni dini na madhehebu kibao yana makubaliano ya MoU na serikali, lakini watu kama wewe hamuwakomalii.

Kama Wakristo wa madhehebu mbalimbali, Wahindi Waislamu na Mabaniani wameweza, kwa nini Islamic Foundation washindwe?

Weka ushahidi wa correspondence kuhusu maombi ya MoU kati ya Islamic Foundation na Serikali, na majibu ya Serikali, halafu tuone ukweli upo wapi.
 
Hiyo si sababu. Kama Islamic Foundation walikataliwa, basi wangefanya jitihada kuendana na masharti ya Serikali ili nao wakubaliwe , na siyo kuishia kuwashambulia Wakatoliki tu kila siku sababau ya MoU wakati ni dini kibao zina makubaliano ya MoU na serikali, lakini watu kama wewe hamuwakomalii.

Kama Wakristo wa madhehebu mbalimbali, Wahindi Waislamu na Mabaniani wameweza, kwa nini islamic Foundation washindwe?

Weka ushahidi wa correspondence kuhusu maombi ya MoU kati ya Islamic Foundation na Serikali, na majibu ya Serikali, halafu tuone ukweli upo wapi.
Masharti waliyotimiza Wakatoliki ni yapi?..kujifungia chumbani peke yao na mwakilishi wa serikali Lowasa?!
 
wakati mmoja ilijengwa shule ya imani hii mtaani kwangu. Tulikuja kupigwa butwaa siku walipofika wafadhili wakuu toka uarabuni. Wakaingia madarasani na kufanya test km iliyofanywa na wasomali wa westgate kwa lengo la kubaini "product zao". Wakagundua wameingizwa chaka, class imejaa mamluki watupu. Shule ilifungwa siku hiyohiyo kwa staili ya "ghafla bin vuu" baada ya wafadhili hao kubaini shule imejaa watoto wasio "walengwa".
nakumbuka niliumia sana wakati huo kuona wazazi wanavyohaha kutafuta shule mpya kwa ajili ya watoto wao.ubaguz ni mbaya sana.
 
Masharti waliyotimiza Wakatoliki ni yapi?..kujifungia chumbani peke yao na mwakilishi wa serikali Lowasa?!

Tatizo na wewe kumbe ni knucklehead kama wenzako. Couldn't care less, dude! Matter of fact, F.uck you!
 
Gere ya nini ndugu yangu? Almost kila parokia ina zahanati achilia mbali hospitali. Nenda Unguja ukaone masista wanavyohudumia ndugu zenu kwenye ile hospitali ya katoliki kule shamba..

haya yametoka wapi? nani? kakubishia?. hapa imetambulishwa zahanati mmeanza kisagia mara banda la kuku. mara choo cha mke wangu mara nini? mbona mnapinga maendeleo yetu mnanini nyie?
 
wakati mmoja ilijengwa shule ya imani hii mtaani kwangu. Tulikuja kupigwa butwaa siku walipofika wafadhili wakuu toka uarabuni. Wakaingia madarasani na kufanya test km iliyofanywa na wasomali wa westgate kwa lengo la kubaini "product zao". Wakagundua wameingizwa chaka, class imejaa mamluki watupu. Shule ilifungwa siku hiyohiyo kwa staili ya "ghafla bin vuu" baada ya wafadhili hao kubaini shule imejaa watoto wasio "walengwa".
nakumbuka niliumia sana wakati huo kuona wazazi wanavyohaha kutafuta shule mpya kwa ajili ya watoto wao.ubaguz ni mbaya sana.
Allah ni mbaguzi sana. Hafai kabisa
 
Mnakumbuka shuka kumekucha!! Mboba hayo ni ya kawaida sana kwa ndugu zenu wa upande wa pili?
Wakianza kutaja shule na hospitali na zahanati zinazohudumia watanzania wote bila kijali dini si tutakesha tukihesabu?? Hakuna cha ajabu hapo
Ajabu ni Islamic Foundation wamejenga bila ya MoU na serikali.

Aidha wamefanya bila ya kujengewa na Wakoloni waliotumia pesa za rasilimali na kodi za Watanganyika wote.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom