Yuko wapi Balozi Emmanuel Nchimbi?

Yuko wapi Balozi Emmanuel Nchimbi?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,343
Reaction score
859,913
Linaweza kuwa swali la kijinga sana lakini lililobeba tafakuri kubwa
Ukimya na kutoonekana kwake hadharani kumezua sintofahamu kubwa inayotoa mwanya wa speculations za kila aina

Kwamba yuko house arrest
Kwamba yuko mahali salama
Kwamba kapokonywa simu zake zote na kuzuiwa kuonana na yeyote
Kwamba keshakimbia nchi na ataibuka siku si nyingi..!

Je kama alishajiandaa siku nyingi na kwenda mafichoni kabla hajaachia hiyo barua na sasa yuko anausoma mchezo na hizi taharuki?

Ama je kama walimuwahi kabla hajawawahi itakuwaje?
Kimsingi ni kwamba haya yote hayatokei kwa bahati mbaya yamepangwa ili kutoa nafasi tupelekwe chaka tusifuatili mengine maana TAL ndio leo anahitimisha ushahidi wake ..
Yote juu ya yote hii ngoma bado mbichi sana na mbuzi wa kafara wanaweza wasihesabike
Halijaisha hill ..!
IMG-20260827-WA0003.jpg
 
Linaweza kuwa swali la kijinga sana lakini lililobeba tafakuri kubwa
Ukimya na kutoonekana kwake hadharani kumezua sintofahamu kubwa inayotoa mwanya wa speculations za kila aina

Kwamba yuko house arrest
Kwamba yuko mahali salama
Kwamba kapokonywa simu zake zote na kuzuiwa kuonana na yeyote
Kwamba keshakimbia nchi na ataibuka siku si nyingi..!

Je kama alishajiandaa siku nyingi na kwenda mafichoni kabla hajaachia hiyo barua na sasa yuko anausoma mchezo na hizi taharuki?

Ama je kama walimuwahi kabla hajawawahi itakuwaje?
Kimsingi ni kwamba haya yote hayatokei kwa bahati mbaya yamepangwa ili kutoa nafasi tupelekwe chaka tusifuatili mengine maana TAL ndio leo anahitimisha ushahidi wake ..
Yote juu ya yote hii ngoma bado mbichi sana na mbuzi wa kafara wanaweza wasihesabike
Halijaisha hill ..!View attachment 3658089

Anakula popcone na kuangalia marejeo ya mpira wa EPL weekend
 
Linaweza kuwa swali la kijinga sana lakini lililobeba tafakuri kubwa
Ukimya na kutoonekana kwake hadharani kumezua sintofahamu kubwa inayotoa mwanya wa speculations za kila aina

Kwamba yuko house arrest
Kwamba yuko mahali salama
Kwamba kapokonywa simu zake zote na kuzuiwa kuonana na yeyote
Kwamba keshakimbia nchi na ataibuka siku si nyingi..!

Je kama alishajiandaa siku nyingi na kwenda mafichoni kabla hajaachia hiyo barua na sasa yuko anausoma mchezo na hizi taharuki?

Ama je kama walimuwahi kabla hajawawahi itakuwaje?
Kimsingi ni kwamba haya yote hayatokei kwa bahati mbaya yamepangwa ili kutoa nafasi tupelekwe chaka tusifuatili mengine maana TAL ndio leo anahitimisha ushahidi wake ..
Yote juu ya yote hii ngoma bado mbichi sana na mbuzi wa kafara wanaweza wasihesabike
Halijaisha hill ..!View attachment 3658089
Mmmh ! Ila maombi ya nguruwe pori kumpata Simba ni mtihani !
 
Aonekane hadharani akifanya nini?

Yupo nchini hawezi kuwa nje ya nchi,,, kwanza atapitia wapi?
 
Back
Top Bottom