BTW bado ni Makamu wa Rais hadi tar 4 September, lazima pia afanye handle over tena public ione makabidhiano. Kuna vimitego naviona kwenye hii issue nzima!
MR MACHO MAN MAN IS NOW EXCOMMUNICADO
Kama alifanya hivyo tusubiri madini na nondo live facebookNa hayupo Nchini na nchi pekee atakua yupo ni Marekani na waliemsaidia kuondoka ni USA ki ufupi aliyajua haya yanakuja and by this time anaweza akawa kashapewa uraia wa MAREKANI bwana manuuui sio BOYAAAAA
EN ameshika nafasi kubwa kitaifa, nadhani amejipa muda na kutulia, sioni kibaya chochoye watamfanya...Linaweza kuwa swali la kijinga sana lakini lililobeba tafakuri kubwa
Ukimya na kutoonekana kwake hadharani kumezua sintofahamu kubwa inayotoa mwanya wa speculations za kila aina
Kwamba yuko house arrest
Kwamba yuko mahali salama
Kwamba kapokonywa simu zake zote na kuzuiwa kuonana na yeyote
Kwamba keshakimbia nchi na ataibuka siku si nyingi..!
Je kama alishajiandaa siku nyingi na kwenda mafichoni kabla hajaachia hiyo barua na sasa yuko anausoma mchezo na hizi taharuki?
Ama je kama walimuwahi kabla hajawawahi itakuwaje?
Kimsingi ni kwamba haya yote hayatokei kwa bahati mbaya yamepangwa ili kutoa nafasi tupelekwe chaka tusifuatili mengine maana TAL ndio leo anahitimisha ushahidi wake ..
Yote juu ya yote hii ngoma bado mbichi sana na mbuzi wa kafara wanaweza wasihesabike
Halijaisha hill ..!View attachment 3658089
Macho yote Duniani yameelekezwa kuona siasa za Tanzania kwa sasa, Hivyo hawawezi fanya kosa.Tumuombee sana... Asingefukuzwa na uanachama hii mada isingekuwa na maana kabisa..!
Marehemu JPM alipenda kusema "nchi ilifikia mahali pabaya" ni kujitahidi kuitoa na kusonga mbele. Akamalizia "mtanikumbuka"Haramu wafanye makabidhiano?
Nchi ina vituko hii 🤣.
I second youNa hayupo Nchini na nchi pekee atakua yupo ni Marekani na waliemsaidia kuondoka ni USA ki ufupi aliyajua haya yanakuja and by this time anaweza akawa kashapewa uraia wa MAREKANI bwana manuuui sio BOYAAAAA