Yuko wapi Balozi Emmanuel Nchimbi?

Yuko wapi Balozi Emmanuel Nchimbi?

Linaweza kuwa swali la kijinga sana lakini lililobeba tafakuri kubwa
Ukimya na kutoonekana kwake hadharani kumezua sintofahamu kubwa inayotoa mwanya wa speculations za kila aina

Kwamba yuko house arrest
Kwamba yuko mahali salama
Kwamba kapokonywa simu zake zote na kuzuiwa kuonana na yeyote
Kwamba keshakimbia nchi na ataibuka siku si nyingi..!

Je kama alishajiandaa siku nyingi na kwenda mafichoni kabla hajaachia hiyo barua na sasa yuko anausoma mchezo na hizi taharuki?

Ama je kama walimuwahi kabla hajawawahi itakuwaje?
Kimsingi ni kwamba haya yote hayatokei kwa bahati mbaya yamepangwa ili kutoa nafasi tupelekwe chaka tusifuatili mengine maana TAL ndio leo anahitimisha ushahidi wake ..
Yote juu ya yote hii ngoma bado mbichi sana na mbuzi wa kafara wanaweza wasihesabike
Halijaisha hill ..!View attachment 3658089

Yule mwenyewe MAFIA wakat ana post hiyo ukute alisha yeyaaaa nnje ya nchi..sidhani kama atakua mzembe kujianika kama dagaa wa mwanza mchangani
Pole pole alikuwa na utoto mwingi

Sasa aliekua anaenda Askari house anasema hapa wapi ?

Jamaa was not serious kabisa
 
IMG-20260829-WA0027.jpg
 
Na hayupo Nchini na nchi pekee atakua yupo ni Marekani na waliemsaidia kuondoka ni USA ki ufupi aliyajua haya yanakuja and by this time anaweza akawa kashapewa uraia wa MAREKANI bwana manuuui sio BOYAAAAA
Unajua hata pole pole alitafutwa na msaidizi wa balozi wa USA kupitia page zake za instagram akaambiwa tutakutorosha pale pale airport uondoke TZ maan intelligence ya USA ilibaini pole pole ni kweli yupo province ya TZ , na ikabaini pia mbwa wa kijana wanamtafuta kumla
Naambiwa alimjibu huyo msaidizi kuwa yeye polepole yupo fine na hana sababu ya kuondoshwa
Unajua wazungu hawapendi sna kuonekana wana interfere mambo yetu . Jamaa wakamjibu sawa ila kilichotokea was predictable
 
Back
Top Bottom