Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,242
- 10,227
Wikend Alabama kama kawaKamanda wikendi wapi??
Wikend Alabama kama kawaKamanda wikendi wapi??
Siku nyingine uwe unajishaurisha kwanza kwa kaka zako ndo unaandika ,sasa ndo mashudu gani haya ,hivi ikiwa mm ni mkuu wa shule ya chekechea ,halafu mwanao kapotea shuleni ,nagoma kukupa cctv printout ya siku mwanao kapotea nasema alitekwa na mwarabu 1 badae mlinzi wa geti anakwambia walikuwa waswahili 4 ,kisha natoa picha yenye namba za kenya nikisema ni za wasaudi arabia hivi ukisema mm najua aliko mwanao utakuwa unakoseaHuyu jamaa ana rekodi ya kuropoka ropoka tu mambo na wala huwa habanwi kuthibitisha ayasemayo.
Si mwingine, ni huyu Zito [ndiyo, naliandika jina lake bila ‘T’ mbili] Kabwe.
Pamoja na kauli zingine za ajabu ajabu, huko nyuma alishawahi kusema anawajua au ana orodha ya Watanzania walioficha pesa huko Uswisi.
Cha ajabu, hakuwahi kuwataja. Alisema tu wapo na anawajua.
Sawa, mdomo ni wake na anaweza sema lolote lile.
Uzuri ni kwamba, kusema tu kuwa jambo fulani lipo au kitu fulani kipo, hakufanyi hilo jambo liwepo au hicho kitu kiwepo.
Haya, sogeza siku mbele hadi hii leo, jamaa kaja na ingine.
Anadai eti mkuu wa polisi, Kamanda Sirro, anajua Mo Dewji alipo.
Yeye huyo Zito kajuaje kuwa Kamanda Sirro anajua?
Yeye Zito na Sirro walishirikiana kumteka huyo Mo?
Watu wengine bana. Kazi kuropoka ropoka ili mradi tu was ifike na wafuasi wao huku kwenye mitandao ya jamii.
Na hapo inatafutwa kila aina ya sababu kumhusisha Rais Magufuli!!!!
We Zito kama unajua kuwa Kamanda Sirro anajua alipo Mo, maana yake na wewe unajua alipo Mo.
Wasaidie familia yake kwa kuwafahamisha alipo. Siyo kushinda Twitter na kuropoka ropoka pasipo na ithibati.
Mbona sijafa sasa kama kila mmoja ananishambulia?? Au binduki zenu hazina risasi...??
Mkuu mbona uandushi na ujengaji hoja wako sio kama mtu mwenye exposures?
Unajua mwenzetu umepata bahati ya kukaa Nchi kubwa, Nchi yenye uhuru wakuhoji, kukosoa, kuuliza, kila namna ya Uhuru.
Sasa inapotokea unajenga hoja kama Mnyatunzu wa kule bariadi hata redio hana, unatushangaza sana.
Huko Marekani umeenda kujifunza Ujinga?
Kidumuuu....Mr. IGP haoni mbele kwa sababu macho yamefunikwa na kofia ya kijani![emoji23][emoji23][emoji23]
Kho kho kho hatarikwa nini usiwachukie magaidi wanaoratibu, kuteka na kupiga risasi watanzania..
sijui huyu ni wale policcm wanaodumisha chama hadharani...
.
cctv za tanzania ni za kipekee..
1-colored
2-ni HD
3- hata ukiifunga juu inarekodi horizontally
4-hata tukio likitokea alfajiri zenyewe huonesha picha za mchana..
5-na hizi cctv huwa zinakufuatilia km kadhaa kutoka eneo la tukio..
Hivi ndio VIWONDER ambavyo kwengine hakuna..
Wapi Kamanda Siro aliposema kuwa nakuonesheni pic toka kwenye CCTV camera? Ile ni pic yenye muonekano mzuri yenye kuonesha gari husika vizuri. Lengo watu walitambue na kuweza kutoa taarifa kwa polisiAkwa hiyo wewe zile cctv cam photos unaziafiki??? Jibu ndiyo ama hapana
Tuanzie na “mtu mwenye exposures”.
Bwa ha ha ha.
You are a mental midget.
You can’t even get simple things right.
Now on to the next claptrap....
Ni wapi huko ambako nimepata bahati ya kukaa? Ushawahi kuniona?
You don’t know shit. So STFU.
Ujengaji hoja hauna uhusiano wowote ule ulio wa moja kwa moja kati ya mtu na eneo aishilo.
You big dummy.
Marekani? Get your shit right. Which is which now?
Si umetoka kudai nimefurushwa kama Le Mutuz..??
Hujui chochote kunihusu mimi.
What else?
Dah!!
Mtoa mada wewe ndo kilaza kabisa, wewe umejuaje kama zito hajui alipo imumuhoji???? Kama ujamuhoji sasa hapo mlopokaji nani yeye au wewe??????
Na umejuaje kama siro hajui?? Umemuhoji???? Sasa kama ujamuhoji umejuaje kama zito anaropoka???
Ujuaji mwingine Wa kijinga kabisa.
Nimequote maneno ya zitto mwenyewe afu unaleta blabla za kipuuzi tena kwa mambo ambayo hayahusiki na huu uzi eti TAL na Ossoro...Usikariri,huko kukariri ndiyomaana JPM anashindwa kuukubali ushauri wa TAL na badala yake anawaamini akina Ossoro na maripoti yao.
Nina Whisky (from St. Peters'burg) hapa kwenye himaya yangu...Karibu mkuu bila shaka una kiu!!!Unatumia bia kamanda???
Kwani umequote maneno ya Zitto bila kumaanisha...?Nimequote maneno ya zitto mwenyewe afu unaleta blabla za kipuuzi tena kwa mambo ambayo hayahusiki na huu uzi eti TAL na Ossoro...
Usijihangaishe sana huyo ndio Nyani Ngabu bonge la bwege hapa JF. Lakini anapenda kujipima kuwa yuko timamu wakati sivyoHuyu mleta mada ni mnafiki wa wanafiki sasa si amejua kutokana na maelezo yaliyotolewa na huyo jamaa kwamba yamekosa correlation i.e CCTV inamfata mtu mpaka round about ya kawe, hawataki kutoa picha halisi ya kutoka kwenye CCTV bali wanadownload picha za gari ilioko msumbiji acha kujitoa ufahamu...