Louis II
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 3,030
- 4,651
Kwi kwi kwi kwi......dat Disease!! Lol!!Probably the guy is suffering from Pneumonoultramicroscopicsilicovolcanoconiosis
Kwi kwi kwi kwi......dat Disease!! Lol!!Probably the guy is suffering from Pneumonoultramicroscopicsilicovolcanoconiosis
Usijihangaishe sana huyo ndio Nyani Ngabu bonge la bwege hapa JF. Lakini anapenda kujipima kuwa yuko timamu wakati sivyo
Nyani ngabu sijui hata nini kimemkuta, huu mwandiko siamini kama ni wake.
Kaka ni wewe kweli, isijekua unaandika at a gun point.Kwani vipi kamanda?
Pumba
Umepotea sanaKwani umequote maneno ya Zitto bila kumaanisha...?
Kama umequote hayo maneno inamaana nawewe humuamini mwanasiasa.Acha upuuzi,elewa connection iliyopo kati ya Ossoro+JPM na TAL,nani ni mwanasiasa na nani ni mere mtaaluma,hala connect dots nani ambaye unafanana naye akili hakufuata ushauri wa mwanasiasa kisa ni mwanasiasa,akafuata maneno ya mwingine kisa ni Profesa.
Kaka ni wewe kweli, isijekua unaandika at a gun point.
Nimekuzoea unashusha vigongo kweli kweli ila leo naona kama umekua mwepesi sana..(am sorry Kaka, that the way I see)
Ukishakua kibaraka wa CCM na akili za kawaida zinakwenda likizo.pole sanaHahahaaaa makamanda leo nimewashika pabaya!
Tatizo lenu mko closed-minded sana.
Hamjipi kabisa nafasi hata ya kuyaangalia mambo with an open mind.
Matokeo yake ndo baadhi yenu kuja na kauli za ajabu ajabu!
Mnataka wote tuwe monolithic katika fikra zetu.
Mbaya zaidi, hata mtu akiwa ana wa troll hamuwezi kugundua hahahahaaa.
Damn fools.
Sina maana hio, na pia ili tuendelee na soga hapa bro, Acha tukubaliane kuto kukubaliana..unaonaje hii!?Kwako vigongo ni ile mitazamo unayokubaliana nayo tu, eh?
Mtu akiandika mawazo tofauti, basi, anakuwa kilaza?
Sina maana hio, na pia ili tuendelee na soga hapa bro, Acha tukubaliane kuto kukubaliana..unaonaje hii!?
Umesomeka mkuu Nyani NgabuMi sina tatizo na mitazamo iliyo kinyume na ya kwangu.
Deuces.
Huyu jamaa ana rekodi ya kuropoka ropoka tu mambo na wala huwa habanwi kuthibitisha ayasemayo.
Si mwingine, ni huyu Zito [ndiyo, naliandika jina lake bila ‘T’ mbili] Kabwe.
Pamoja na kauli zingine za ajabu ajabu, huko nyuma alishawahi kusema anawajua au ana orodha ya Watanzania walioficha pesa huko Uswisi.
Cha ajabu, hakuwahi kuwataja. Alisema tu wapo na anawajua.
Sawa, mdomo ni wake na anaweza sema lolote lile.
Uzuri ni kwamba, kusema tu kuwa jambo fulani lipo au kitu fulani kipo, hakufanyi hilo jambo liwepo au hicho kitu kiwepo.
Haya, sogeza siku mbele hadi hii leo, jamaa kaja na ingine.
Anadai eti mkuu wa polisi, Kamanda Sirro, anajua Mo Dewji alipo.
Yeye huyo Zito kajuaje kuwa Kamanda Sirro anajua?
Yeye Zito na Sirro walishirikiana kumteka huyo Mo?
Watu wengine bana. Kazi kuropoka ropoka ili mradi tu was ifike na wafuasi wao huku kwenye mitandao ya jamii.
Na hapo inatafutwa kila aina ya sababu kumhusisha Rais Magufuli!!!!
We Zito kama unajua kuwa Kamanda Sirro anajua alipo Mo, maana yake na wewe unajua alipo Mo.
Wasaidie familia yake kwa kuwafahamisha alipo. Siyo kushinda Twitter na kuropoka ropoka pasipo na ithibati.