Kwa nini mnafikiri zile ni cctv footage?Akwa hiyo wewe zile cctv cam photos unaziafiki??? Jibu ndiyo ama hapana
Makamanda mtatoa sana povu leo.
Na kusema kitu hakipo haimanishi hicho kitu hakipo pia lisimwalo...........
Anadanganya anaishi America huyu punga anaishi temeke mikoroshini huko bongoFunga bakuli lako mjinga mjinga wewe uliyekimbia nchi yako na kwenda kuolewa na kibabu kizee nchi za watu, ya ngoswe mwachie ngoswe mama wewe
Povu ulilo litoa wewe sio Dogo ,linaweza kuuwa Samaki wote wa Bahari ya Hindi.
Umeandika Utumbo kabisa.
Sasa ndugu unadai unaishi marekani unashindana na zito kwa lipi labda kwa mfanoHuyu jamaa ana rekodi ya kuropoka ropoka tu mambo na wala huwa habanwi kuthibitisha ayasemayo.
Si mwingine, ni huyu Zito [ndiyo, naliandika jina lake bila ‘T’ mbili] Kabwe.
Pamoja na kauli zingine za ajabu ajabu, huko nyuma alishawahi kusema anawajua au ana orodha ya Watanzania walioficha pesa huko Uswisi.
Cha ajabu, hakuwahi kuwataja. Alisema tu wapo na anawajua.
Sawa, mdomo ni wake na anaweza sema lolote lile.
Uzuri ni kwamba, kusema tu kuwa jambo fulani lipo au kitu fulani kipo, hakufanyi hilo jambo liwepo au hicho kitu kiwepo.
Haya, sogeza siku mbele hadi hii leo, jamaa kaja na ingine.
Anadai eti mkuu wa polisi, Kamanda Sirro, anajua Mo Dewji alipo.
Yeye huyo Zito kajuaje kuwa Kamanda Sirro anajua?
Yeye Zito na Sirro walishirikiana kumteka huyo Mo?
Watu wengine bana. Kazi kuropoka ropoka ili mradi tu was ifike na wafuasi wao huku kwenye mitandao ya jamii.
Na hapo inatafutwa kila aina ya sababu kumhusisha Rais Magufuli!!!!
We Zito kama unajua kuwa Kamanda Sirro anajua alipo Mo, maana yake na wewe unajua alipo Mo.
Wasaidie familia yake kwa kuwafahamisha alipo. Siyo kushinda Twitter na kuropoka ropoka pasipo na ithibati.
Jitahidi kuficha upumbavu wako ,ina maana hata hili suala la MO kutekwa umekosa cha kuongea? Badala yake unaandika uharo hapaMakamanda mtatoa sana povu leo.
Marekani ya mikoroshini wazima??Makamanda mtatoa sana povu leo.
Kwan kuna mtu amesingiziwa kasema hivyo?Kuna aliyesema kitu hakipo?
Inafikirisha kwa namna flaniHapana Zito Kabwe haropoki bali anajua fika anachokiongea, yeye ni sehemu ya conspiracy yote hii pamoja G.Lema, hata chadema wanajua, kuna sababu kwa nini Tundu Lisu wao hajaposti chochote hapa JF kuhusiana na hili mpaka sasa hivi kwani siyo kawaida kwenye tukio lolote lile, hivyo kamwachia Waziri muhisika Lema na Zito Kabwe, hivyo kwangu mimi huu mpango umesukwa na Dewji, mwenyewe na kuwashirikisha wote wanaojitokeza sasa hivi.
Wanasema Dewji aliendesha mwenyewe bila ya dereva kwenda gym wakati siyo kawaida yake, wanasema siku zote huwa na dereva, inaelekea hapa walishajifunza kutoka kwenye ishu ya Tundu Lisu na dereva wake, ili kuondoa mtu mwigfine ambaye angeweza kuulizwa akaamua kuendesha peke yake ili iwe muhusika ni yeye tu!
PROFESSIONAL PRESIDENTIAL RUBBISHKwani nimesema hajui?
Typical kamanda!!! Dumb as a bag of rocks.
Tatizo la watanzania ni majinga aka makondookwa nini usiwachukie magaidi wanaoratibu, kuteka na kupiga risasi watanzania..
sijui huyu ni wale policcm wanaodumisha chama hadharani...
.
cctv za tanzania ni za kipekee..
1-colored
2-ni HD
3- hata ukiifunga juu inarekodi horizontally
4-hata tukio likitokea alfajiri zenyewe huonesha picha za mchana..
5-na hizi cctv huwa zinakufuatilia km kadhaa kutoka eneo la tukio..
Hivi ndio VIWONDER ambavyo kwengine hakuna..