Yeye kajuaje kama Kamanda Sirro anajua?

Yeye kajuaje kama Kamanda Sirro anajua?

Kuna wanasiasa ni very Intelligent hapa bongo January, Lisu na Zitto nk na mtoa mada ni mmoja kati ya binadamu wasiopenda wenzie kuonekana wana IQ kubwa (kama umafuatilia thread za kuwasifia hao watu)
 
nilishawahi kushauri CCTV ziwekwe,mkanipinga vikali kuwa sio priority,sasa leo mbona mnapitia hizo CCTV katika upelelezi???..Maelfu ya kujipanga na boats,na hela ambazo zimeshatumika mpaka sasa katika upelelezi zingekuwa spared.
 
Mleta Mada wacha Umama! Toka lini picha ya kutoka kwenye CCTV ikawa ni colored na haina sigh ya tarehe, sekunde, saa? 🤭Big up Kabwe[emoji122]
 
(Kweli "NYANI" Halioni kundu lake)....

Acha ubalozi au ukuu wa wilaya yaani hata ujumbe wa nyumba kumi hutapewa....

Chapter closed!!
 
Wewe unajuaje kama Sirro hajui?

Vyanzo vya habari vya Zitto unavijua?

Acha kuaminiamini akina Sirro,wale muda mwingine wanapewa maelekezo,nini waongee.
 
Zitto tokea Dau aondoke NSSF, ni kama aliondoka na uwezo wa Zitto, Zitto alikua akiongea Taifa linatingishika.. Zitto wa sasa mwepesi sana, kadri umri unavyokua mkubwa, uwezo unakua mdogo
 
Huyu jamaa ana rekodi ya kuropoka ropoka tu mambo na wala huwa habanwi kuthibitisha ayasemayo.

Si mwingine, ni huyu Zito [ndiyo, naliandika jina lake bila ‘T’ mbili] Kabwe.

Pamoja na kauli zingine za ajabu ajabu, huko nyuma alishawahi kusema anawajua au ana orodha ya Watanzania walioficha pesa huko Uswisi.

Cha ajabu, hakuwahi kuwataja. Alisema tu wapo na anawajua.

Sawa, mdomo ni wake na anaweza sema lolote lile.

Uzuri ni kwamba, kusema tu kuwa jambo fulani lipo au kitu fulani kipo, hakufanyi hilo jambo liwepo au hicho kitu kiwepo.

Haya, sogeza siku mbele hadi hii leo, jamaa kaja na ingine.

Anadai eti mkuu wa polisi, Kamanda Sirro, anajua Mo Dewji alipo.

Yeye huyo Zito kajuaje kuwa Kamanda Sirro anajua?

Yeye Zito na Sirro walishirikiana kumteka huyo Mo?

Watu wengine bana. Kazi kuropoka ropoka ili mradi tu was ifike na wafuasi wao huku kwenye mitandao ya jamii.

Na hapo inatafutwa kila aina ya sababu kumhusisha Rais Magufuli!!!!

We Zito kama unajua kuwa Kamanda Sirro anajua alipo Mo, maana yake na wewe unajua alipo Mo.

Wasaidie familia yake kwa kuwafahamisha alipo. Siyo kushinda Twitter na kuropoka ropoka pasipo na ithibati.
Kwani ndo sirro mwenyewe?
Kama unaona anazingua, si umfuate mwenyewe huyo zitto
 
Wewe unajuaje kama Sirro hajui?

Vyanzo vya habari vya Zitto unavijua?

Acha kuaminiamini akina Sirro,wale muda mwingine wanapewa maelekezo,nini waongee.

Kwani nimesema Sirro hajui? We kamanda vipi wewe...!!!
 
Huyu jamaa ana rekodi ya kuropoka ropoka tu mambo na wala huwa habanwi kuthibitisha ayasemayo.

Si mwingine, ni huyu Zito [ndiyo, naliandika jina lake bila ‘T’ mbili] Kabwe.

Pamoja na kauli zingine za ajabu ajabu, huko nyuma alishawahi kusema anawajua au ana orodha ya Watanzania walioficha pesa huko Uswisi.

Cha ajabu, hakuwahi kuwataja. Alisema tu wapo na anawajua.

Sawa, mdomo ni wake na anaweza sema lolote lile.

Uzuri ni kwamba, kusema tu kuwa jambo fulani lipo au kitu fulani kipo, hakufanyi hilo jambo liwepo au hicho kitu kiwepo.

Haya, sogeza siku mbele hadi hii leo, jamaa kaja na ingine.

Anadai eti mkuu wa polisi, Kamanda Sirro, anajua Mo Dewji alipo.

Yeye huyo Zito kajuaje kuwa Kamanda Sirro anajua?

Yeye Zito na Sirro walishirikiana kumteka huyo Mo?

Watu wengine bana. Kazi kuropoka ropoka ili mradi tu was ifike na wafuasi wao huku kwenye mitandao ya jamii.

Na hapo inatafutwa kila aina ya sababu kumhusisha Rais Magufuli!!!!

We Zito kama unajua kuwa Kamanda Sirro anajua alipo Mo, maana yake na wewe unajua alipo Mo.

Wasaidie familia yake kwa kuwafahamisha alipo. Siyo kushinda Twitter na kuropoka ropoka pasipo na ithibati.
Nyani ngabu kawa Nyani mzee! Haoni, hasikii, haambiwi, juu ya jiwe na sirikali yake! Yaani mahaba kama yoteeee! Yaani hata kale kauwezo kadogo ka kuchambua mambo kama msomi na mwenye uzoefu wa maisha kwingineko duniani ukilinganisha na hapa kwetu kametoweka!
 
Back
Top Bottom