Yathibitishwa, Dr Ndalichako aondoka NECTA

Yathibitishwa, Dr Ndalichako aondoka NECTA

Habari mbaya hiii kwa maendeleoa ya elimu kwa watanzania ,,,, pamoja na kazi nzur aliyofanya huyu mama maeambulia hayo ama kweli wabaya wako unakula na kucheka nao ila sifa nautukufu wa kazi yake iliyotukuka utaenziwa japo kwa sain zake zilizopo kwenye vyet mbali mbali vya wahitimu.... Inaumiza sana
 
Uthibitisho huu umetoka kwa mwenyekiti wa Bodi ya Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) Brof Rwekaza Mukandala kuwa Katibu Mtendaji wa NECTA Dr Joyce Ndalichako ameondoka NECTA na nafasi yake sasa inakaimiwa na Dr Charles Msonde aliyekuwa msaidizi wake.

Kwa mujibu wa Profesa Mukandala, ni kwamba Dr Ndalichako ameanza likizo ya utafiti (Sabbatical leave) ya mwaka mmoja kuanzia Oktoba mosi mwaka huu hadi Septemba 30 mwaka 2014 licha ya kuwepo kwa taarifa za kuwepo shinikizo la kisiasa lilikuwa likimzonga Dr Ndalichako kutakiwa kujiuzulu.

Nawasilisha

Nasikia aliwakwaza sana Viongozi wa juu wa CCM alipokuwa anataka kugomea ku-standerdize ili idadi ya ufaulu iongezeke na kutoa taswila nzuri ya Elimu hivyo kukifanya chama kiendelee kuaminika
 
Uthibitisho huu umetoka kwa mwenyekiti wa Bodi ya Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) Brof Rwekaza Mukandala kuwa Katibu Mtendaji wa NECTA Dr Joyce Ndalichako ameondoka NECTA na nafasi yake sasa inakaimiwa na Dr Charles Msonde aliyekuwa msaidizi wake.

Kwa mujibu wa Profesa Mukandala, ni kwamba Dr Ndalichako ameanza likizo ya utafiti (Sabbatical leave) ya mwaka mmoja kuanzia Oktoba mosi mwaka huu hadi Septemba 30 mwaka 2014 licha ya kuwepo kwa taarifa za kuwepo shinikizo la kisiasa lilikuwa likimzonga Dr Ndalichako kutakiwa kujiuzulu.

Nawasilisha
Nasikitika kuwa Charles Msonde ndiyo anakaimu hii nafasi nyeti. Msonde hana maadili kuitumikia hiyo nafasi maana ni mwizi. alipokuwa udsm kama kiongozi wa wanafunzi aliiba hela,alichonga mihuri feki ya malipo mpaka wa jeshi. Aliandika barua ya kukiri uwizi akalipa kidogo
 
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.

hovyo! someni mnapenda sana kubebwa nyie wa kipande hyo.
 
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.

Unaonaje Dr. Sheikh Ponda Issa Ponda au Sheikh Farid Bin Jumaa akapewa?
 
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.

aisee . . . . . ! Mkimaliza hilo, maghorofani na majumbani vyuo visiangalie kibra.
 
Yaani we mwaname ni hovyo kabisa sijawahi kudhania....How can u endekeza udini kiasi hiki....mbona wengine tumeongozwa na waislam na hatujahisi tatizo lolote.......Wana JF imefikia wakati wa kuwatambua hata hawa wachochezi wa mgawanyiko wa jamii yetu kupitia kwenye internet.Especially this FaizaFoxy

Wewe unafikiri sakata linalomuondoa hapo ni lipi?
 
Unaonaje Dr. Sheikh Ponda Issa Ponda au Sheikh Farid Bin Jumaa akapewa?

Hapana. hao hawawezi nafasi hiyo, tunao wataalaam wanaoiweza hiyo nafasi.

Hivi unajuwa kwanini kaondoka hapo? au unajifanya umesahau?
 
Angekuwepo ndiyo angewasaidia?

Makosa makubwa sana aliyowahi kuyafanya Nyerere ni kuzibinafsisha shule za Wakristo na kuzifanya za serikali. Akaja Mkapa akachukua chuo cha TANESCO na kukigeuza chuo cha Kiislamu. Ni lini Wakristo watapata upendeleo kutoka serikalini? Tumeonewa kiasi cha kutosha, tumepuuzwa kiasi cha kutosha. Sasa tuhakikishe watoto wetu wanapata elimu nzuri kwa gharama ya kuchangiana fedha ili waweze kushindana na kinachoendelea kwenye huu ulimwengu wa digitali.
 
Ama kweli NABII hathaminiwi kwao (nyumbani). Huyu Dr. Ndalichako majuzi tu wenzetu wa SADC(?) wamemuona anafaa na kumpatia u-boss. Leo sisi kwa pressure za wazee wa madrassa serikali SIKIVU imemuona HAFAI?!.

Sasa kama Dr. Ndalichako ndiye alikuwa anawa felisha WAISLAMU (SIC) ngoja tuone kama hizo Al-haramu, Kinondoni Muslim Schools and the like zitaweza kushindana St. Francis, Marian girls, Maua Seminary, and the like.

Huu UDINI utaifikisha nchi hii kubaya. STD VI (Ponda) anapomshauri PhD holder (Kawambwa) kuhusu mambo ya ELIMU na PhD holder akafuata ushauri wa STD VI hii ni zaidia ya MAJANGA.

Mu country Tanzania where are we heading?! Only God knows (BTW not Allah kwasababu kule Malaysia ni WAISLAMU tu wanaruhusiwa kutamka neno Allah. Non-muslims ukitamka neno Allah it is an offense punishable before the court of law!)
 
Huenda ukawa mfuasi wa Al-Shaabab, hivi akiwa mwislamu atawafanyia mitihani? hapa jambo la mhimu ni shule za kiislamu kupunguza mafunzo ya ahera, watoto waelimishwe na elimu dunia kwa ufasaha, mkiendelea na elimu ahera watoto wataishia kujifunza namna ya kulipua tu, na kusubiri kwenda kuwa wahandisi huko ahera
Mkuu umewahi kusoma katika shule za kiislam? Shule kabla ya kusajiriwa, lazima ipeleke mitahala yake, sasa serikali inaweza kusajiri shule zinazofundisha mitaala ya dini tuu? kuhusu ulipuaji hauna dini, zipo dini zilikwenda hospitali na kuzilipua, just because hawakubaliani na imani zao. Acha dharau, onyesha heshima katika dini za wenzako nawe ya kwako itaheshimiwa
 
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.
mimi kama muslim ningependekeza nafasi hiyo apewe asiye na dini...teh teh..
 
Unaonaje Dr. Sheikh Ponda Issa Ponda au Sheikh Farid Bin Jumaa akapewa?
Mungi! you are better than this, hawa jamaa wa CCM wanasema vitu to provoke, sasa nyie watu wenye kuonyesha misimamo ya kuipinga CCM mnavyoingia katika mitego hii, mnaharibu sura ya harakati.
 
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.

we mama mjinga sana na akili zako za maccm.aliyekwambia tz wanatoa vyeo kidini nani?.mods bora mngemwachaga selo yake ya maisha tu huyu kiazi.
 
hovyo! someni mnapenda sana kubebwa nyie wa kipande hyo.

Tunasomeshwa kuhusu uadilifu toka madrasah, hapo hautuingii hata umalize vyuo vikuu vyote alivyotembelea Slaa.
 
Back
Top Bottom