FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,777
Kuna sehemu uliandika wewe ni dini gani kabla ya kufanya mitihani ya necta?
Waislam waliofaulu kipindi cha ndalichako ilikuwaje?
Uislam na elimu dunia haviendi sambamba kwa namna fulani. Mfano akati muislam yuko radhi kuacha shule ili asome madrasa tu kwa mkristo sio sawa, mfano ndugu waroma catholic huwezi kuwa na nafasi ya juu katika kanisa Lao bila ya kuwa na elimu dunia nzuri.
So bado kuna kundi la waislam ambao hawazingatii elimu na wengine kuiona kama bado ni ukafir kusoma elimu dunia na hiyo ndo sababu kubwa inayofanya watoto wa kiislam wafeli alafu waanze kulalamika kwa sababu zisizokuwa na msingi.
Boko haram Nigeria dhumuni Lao kuu ni kuondoa elimu dunia Nigeria unasemaje kuhusu wao au nako ndalichako yupo.!?
Jiulize wewe wanaofanya Islamic Knowledge ni kina nani? Ndalichako?