Dada FF,ningependa kukuomba kama Mtanzania japo ni mkristu au kafir kulingana na term yenu kwa wakristu,kwa sababu unafanya consultancy nadhani unauwezo wa kutusaidia ili ufanye RESEARCH yenye kutenda haki itakayohusu elimu ya Tanzania,kwa kuangalia Mitaala ambayo imebadilishwa na isiyokidhi matakwa ya ELIMU yetu,pilifanya utafiti wa kina kwenye shule za binafsi,za dini,za serikali ili uweze kutuletea tafiti itakayotusaidia watanzania kujuatujisaidie vipi ili watoto wetu wapate elimu bora na si bora elimu.Udini hautatusaidia hata kidogo.