Yathibitishwa, Dr Ndalichako aondoka NECTA

Yathibitishwa, Dr Ndalichako aondoka NECTA

Huenda ukawa mfuasi wa Al-Shaabab, hivi akiwa mwislamu atawafanyia mitihani? hapa jambo la mhimu ni shule za kiislamu kupunguza mafunzo ya ahera, watoto waelimishwe na elimu dunia kwa ufasaha, mkiendelea na elimu ahera watoto wataishia kujifunza namna ya kulipua tu, na kusubiri kwenda kuwa wahandisi huko ahera



Logical thinking!!ahsante ndugu
 
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.

Aisee kwamba akiwekwa muislam atawafaulisha hata yale matoto galasa kabisa kisa tu ni waislam

Na waislam waliofaulu chini ya ndalichako ilikuwaje.!?
 
Umeuliza swali nzuri sana. Hoja ya msingi ni kupambanisha wenye uwezo. akitokea kuwa wa dini/imani yoyote sawa tu, lakini asipatikane kwa sababu ni wa imani fulani! Angalia tumewappa Ikulu wamekuwa watalii tu, tumewapa wizara mbalimbali na hata usalama wa raia na mali zao, wamekuwa wauaji na wanyang'anyi mali tu!

Uwezo na misimamo ndugu!

Kwani hamna waislam wenye uwezo!?
 
kuna wapumbavu wanaodhani akiwa mtu wa dini fulani pale necta,watanufaika sana na hawa lengo lao limekua kujitahidi sana kutawala dini nyingine na si kumtafuta Mungu,ole wao! wakati wote wanalia kuonewa,hata pale refa na lines men wanapokua wa kwao,bado wanalia kuonewa! ona ktk nji zenye imani yao,takribani robo tatu ya nji hizo ni vita tu.kama umoja ktk dini ingekuwa dawa,sidhani kule kama wangekuwa wanapgana vile. mara nyingi mtu hupatwa na yale anayopanga kumtendea mwingine. Joice,kama umefukuzwa kwa sababu zile za kipndi kile na kama hazina ukweli,piga goti utoe sala kwa unaemuamini,atakulipa kabla haujatoweka duniani
 
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.
kwanawake wa kiisilamu na elimu wapi na wapi, ndo maana unacomment utumbo
 
comment zooote for & against hazibadilishi ukweli huu: DR NDALICHAKO HADI SASA BADO NI KATIBU MTENDAJI NECTA NA ATARUDI 01/10/2014 labda patokee mengine!
 
Huyo anakaimu tu na yeye tunamtazama, ataendeleza parokia au atabadilika na kubadilisha mambo humo? akiendeleza na yeye hakai.

Hatutazami jina la mtu tunatazama vitendo vyake.

Vipi mjane mweusi Umeanza kuikana post yako ya kwanza?
 
Aisee kwamba akiwekwa muislam atawafaulisha hata yale matoto galasa kabisa kisa tu ni waislam

Na waislam waliofaulu chini ya ndalichako ilikuwaje.!?

Akiwekwa Muislaam hatutofelishwa kama alivyofanya Ndalichako.
 
Mfumo kristo sasa umeanza kudondoka,maana kumjua adui ni nusu ya ushindi.

Yule Mdini namba moja wa Magogoni karibu anaondoka...Amebakiza miaka miwili tu...Kwahiyo msidhani hili gemu mshashinda tayari.
 
comment zooote for & against hazibadilishi ukweli huu: DR NDALICHAKO HADI SASA BADO NI KATIBU MTENDAJI NECTA NA ATARUDI 01/10/2014 labda patokee mengine!
 
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.
Naskia we ni kimada wa sheikh ilunga. Hivi yuko wapi siku hizi? Tumemis uchochezi wake. Hii nafasi inamfaa sana.
 
Akiwekwa Muislaam hatutofelishwa kama alivyofanya Ndalichako.

Kuna sehemu uliandika wewe ni dini gani kabla ya kufanya mitihani ya necta?

Waislam waliofaulu kipindi cha ndalichako ilikuwaje?

Uislam na elimu dunia haviendi sambamba kwa namna fulani. Mfano akati muislam yuko radhi kuacha shule ili asome madrasa tu kwa mkristo sio sawa, mfano ndugu waroma catholic huwezi kuwa na nafasi ya juu katika kanisa Lao bila ya kuwa na elimu dunia nzuri.

So bado kuna kundi la waislam ambao hawazingatii elimu na wengine kuiona kama bado ni ukafir kusoma elimu dunia na hiyo ndo sababu kubwa inayofanya watoto wa kiislam wafeli alafu waanze kulalamika kwa sababu zisizokuwa na msingi.

Boko haram Nigeria dhumuni Lao kuu ni kuondoa elimu dunia Nigeria unasemaje kuhusu wao au nako ndalichako yupo.!?
 
Uthibitisho huu umetoka kwa mwenyekiti wa Bodi ya Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) Brof Rwekaza Mukandala kuwa Katibu Mtendaji wa NECTA Dr Joyce Ndalichako ameondoka NECTA na nafasi yake sasa inakaimiwa na Dr Charles Msonde aliyekuwa msaidizi wake.

Kwa mujibu wa Profesa Mukandala, ni kwamba Dr Ndalichako ameanza likizo ya utafiti (Sabbatical leave) ya mwaka mmoja kuanzia Oktoba mosi mwaka huu hadi Septemba 30 mwaka 2014 licha ya kuwepo kwa taarifa za kuwepo shinikizo la kisiasa lilikuwa likimzonga Dr Ndalichako kutakiwa kujiuzulu.

Nawasilisha

Inasaidia nini? Kuondoka kwake au kubaki kwake kunakupa faida gani? Tuache chokochoko!
 
Back
Top Bottom