bro kubali kuwa waislamu ni sehemu ya jamii ya watanzania. wana haki ya kueleza kero zao. waislamu wamelalamika kwa zaidi ya miaka 20 kuwa NECTA hakuna kiongozi yeyote muislamu. kuanzia katibu mkuu hadi chini ni wakristo watupu. labda uwe huwapendi waislamu lkn wape haki yao ya kusikilizwa. waliwahi kutoa ushahidi kuwa wanafunzi waislamu wanafelishwa makusudi. awekwe katibu mkuu muislamu na waongezwe wakuu wa idara waislamu ili haki (balance of power) itendeke pale machinjioni
Hamtaridhika nyinyi mkitoka kwa Dr Ndalichako mtahamia katika Vyuo vinavyomilikiwa na Wakristo mkitaka Utawala wa Vyuo,Faculties & Departments uwe chini ya Waislamu!