Yathibitishwa, Dr Ndalichako aondoka NECTA

Yathibitishwa, Dr Ndalichako aondoka NECTA

Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.
Faiza, huwa tunabishana kwa hoja lakini kimoyomoyo huwa nakuheshimu sana, kwa hii komenti najisikia aibu utadhani nimekomenti mimi.
 
Ingekuwa china huyu mama ............................, maana hatujui hii hujuma ameanza kuifanya lini na ni kwa namna gani waislamu wameweathirika kwa hujuma zake
 
Haina noma wala nini... we weka dole gumba tu hapo baaas,
Hii ndio inayowauma wazanzibari kila kukicha, Nyerere aliwaingiza kingi kilainiii, karume alikuwa hajui kusoma akasainishwa muungano, alipompelekea abdulahman babu ambae ndio alikuwa mzanzibari pekee aliekwenda shule na muisilamu wa kwanza kujua kusoma na kuandika akamwambia umeliwa, karume kurudi kusema hakubali mahfudh akamaliza kazi
nyerere_with_karume.jpg
 
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.

Yaani ninyi jamaa mambo yenu bwana kumbe dini ndio kigezo au weledi ...jamani ....hii ndio Tz
 
like wife like husband,,,


FaizaFoxy,

Mie sitii neno nakusoma na miwani ya 3D huku nakula zangu Faluda, endelea kumwaga data na facts za haja.


quote_icon.png
By FaizaFoxy
Hakuna wahitimu wengi wa vyuo vikuu kama wakati huu wa Jakaya Mrisho Khalfan Kikwete. Hilo liwanawauma sana, gap ya 83/17 inazidi kuondoka. Na bado.
 
Hiyo nafasi mbona ndogo sana!!

Mkuu wako wa nchi ni muislam..Nini kipya?

Mkuu wa polisi na jaji mkuu pia, wizara kibao na wakuu wa mikoa lakin hakuna jipya waislamu wabaguzi sana na wanahisi wanaonewa kwa kila kitu
 
Uthibitisho huu umetoka kwa mwenyekiti wa Bodi ya Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) Brof Rwekaza Mukandala kuwa Katibu Mtendaji wa NECTA Dr Joyce Ndalichako ameondoka NECTA na nafasi yake sasa inakaimiwa na Dr Charles Msonde aliyekuwa msaidizi wake.

Kwa mujibu wa Profesa Mukandala, ni kwamba Dr Ndalichako ameanza likizo ya utafiti (Sabbatical leave) ya mwaka mmoja kuanzia Oktoba mosi mwaka huu hadi Septemba 30 mwaka 2014 licha ya kuwepo kwa taarifa za kuwepo shinikizo la kisiasa lilikuwa likimzonga Dr Ndalichako kutakiwa kujiuzulu.

Nawasilisha

Joyce pumzika na WAACHE WAFU WAWAZIKE WAFU WAO
 
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.

Sasa mkuu si mwislamu,si mumlime barua tuu kupitia vyombo vyenu?
 
Ni upuuzi uliotukuka kudhani kuwa ati ametoka kwa nguvu za waislamu!! Kama ametoka kwa hiyo issue ya kwenda kufanya utafiti, basi tuamini hivyo na si kujitungia tungia uongo. The...... Have tiny mind!! I have proven that, not just few, i gues its all of the ----
 
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.

Sasa dada Faiza mkuu si mwenzenu,then Kawambwa ndie kashika usukani,si mumlime barua tuu chini chini kupitia vyombo vyenu?
 
Nawaonea huruma sana watoto wa kizazi hiki. Wanaptokea watu potentia kuinua elimu nakuwa wafanisi katuka sehemu yayo ili tupate kizazi chenye elimu bora. Wana siasa wanaharibu.

 
Wewe unasema siasa itaharibu elimu Tanzania,kwani sasa hivi kuna elimu,mbona ni hadithi za alinacha tu.Hili sasa ni taifa la wajinga!
Kwa kweli siasa itaharibu
elimu ya nchi yetu, habari hii imenisikitisha sana ndugu yangu naumia
sana
 
Dola ya kiislamu haiwezi simama kwa nguvu ya upanga,hii imeshindwa kwa karne nyingi,bali kwa mikakati na mipango thabiti ya muda mrefu.
Mimi nawashauri msilalamike chukueni hatua,jiwekezeni katika elimu,mkiamua nchi hii inawaislamu wengi na siku hizi teknolojia imekua,kila mwislamu akichanga kiasi flani cha pesa kila siku,mtavuna pesa nyingi mzitumie kuanzisha mashule ya ngazi mbalimbali,nunueni ardhi ya kutosha kila sehemu kwa uwezo wenu,jengeni vyuo vya kada na ngazi mbalimbali,ufunzi stadi,colleges and institutes pamoja na universities.
Mkijiwekeza hivi miaka hamsini ijayo,mtajikuta mpo pazuri. Amkeni
 
Back
Top Bottom