Yathibitishwa, Dr Ndalichako aondoka NECTA

Yathibitishwa, Dr Ndalichako aondoka NECTA

Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.

mmmmh! kazi tunayo; kumbe hiyo nafasi nayo ni ya kidini!!! poor Tanzania!
 
Hii ni stile mpya ya kucheza bila kukunja goti. Hakuna kuandamana, sasa hivi ni mwondoko wa kuangalia silaha anayotumia adui, ndipo iangaliwe silaha itakayetumika kuwashinda.
 
Huenda ukawa mfuasi wa Al-Shaabab, hivi akiwa mwislamu atawafanyia mitihani? hapa jambo la mhimu ni shule za kiislamu kupunguza mafunzo ya ahera, watoto waelimishwe na elimu dunia kwa ufasaha, mkiendelea na elimu ahera watoto wataishia kujifunza namna ya kulipua tu, na kusubiri kwenda kuwa wahandisi huko ahera
kwanin mtu ujilipue kisa eti bikra 72 khaaa!!!!
 
Kumbe makosa yalionekana, je makosa hayo ilikuwa ni hujuma za Ndalichako???

Mwaka 2012/13 wanafunzi wengi wamefeli kidato cha nne, ikabainika kuwa ukokotoaji wa alama za ufaulu ulibadilishwa kwa wahitimu wote, je Ndalichako alihujumu tena waislamu tu hapa au alihujumu wote au ni serikali ilihujumu???
Alikuwa anabalance ili acheze na akili za watu
 
Hapo hajawahi kushika Muislaam toka paanzishwe. Ikiwezekana kila nafasi kama usemavyo, itakuwa ni vizuri sana kwani wenzetu hamfundishwi kuongoza mnafundishwa kuongozwa (kondoo) tu.

Polycarp Pengo akiingia Uislaam kama wanavyoingia wachungaji wenzake kwa makundi itakuwa ni vyema sana, atakuwa kajijuwa kuwa alipotea na kupoteza wenzake. Hana msamaha ila akiingia kwenye Uislaam tu.

Unapenda kushabikia udini mkuu kha!


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Uthibitisho huu umetoka kwa mwenyekiti wa Bodi ya Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) Brof Rwekaza Mukandala kuwa Katibu Mtendaji wa NECTA Dr Joyce Ndalichako ameondoka NECTA na nafasi yake sasa inakaimiwa na Dr Charles Msonde aliyekuwa msaidizi wake.

Kwa mujibu wa Profesa Mukandala, ni kwamba Dr Ndalichako ameanza likizo ya utafiti (Sabbatical leave) ya mwaka mmoja kuanzia Oktoba mosi mwaka huu hadi Septemba 30 mwaka 2014 licha ya kuwepo kwa taarifa za kuwepo shinikizo la kisiasa lilikuwa likimzonga Dr Ndalichako kutakiwa kujiuzulu.

Nawasilisha

lazima waislamu tuungane kumpigia kura shehe ponda awe katibu necta!. hata kama darasa la saba sawa, sis anatufaa.
 
Tanzania tutakuwa kichwa cha mwendawazimu hadi kwenye elimu, nakumbuka kwenye soka tulipiga sana kelele dhidi ya Maximo lakini hadi leo sijaona maendeleo yoyote kwenye michezo, now the same kwenye elimu kwa kumtoa mama ndalichako haitabadilisha kitu zaidi ya kuendelea kudolola kwa kiwango cha elimu. tubadilike watanzania wenzangu.
,
Hapa huyu mama aondoke tu, hana nia njema na taifa letu
 
Kumbe makosa yalionekana, je makosa hayo ilikuwa ni hujuma za Ndalichako???

Mwaka 2012/13 wanafunzi wengi wamefeli kidato cha nne, ikabainika kuwa ukokotoaji wa alama za ufaulu ulibadilishwa kwa wahitimu wote, je Ndalichako alihujumu tena waislamu tu hapa au alihujumu wote au ni serikali ilihujumu???

Kwa kuwa lilikuwa ni kosa ambalo walimuwajibisha BOsi wa IT lakin yeye Joyce alitakiwa kujiuzuru kwa makosa waliyofanya watendaji wake. kama alivyofanya Mwinyi alipokuwa waziri wa mambo ya ndani. Alijiuzuru kwa kosa la watendaji wake walioachia mauaji ya wazee huko Shinyanga.

Au hujui hilo?
 
Hata kama hana sifa? Kwani dini ni kigezo cha kupewa kazi siku hizi?
Hao hata wapige kelele vipi dunia hii mpaka itakapofikia mwisho wake Mkristo ataendelea kutawala.
Wakianza kuchinjana wanamkimbilia mmarekani kuomba awasaidie
 
Hata kama hana sifa? Kwani dini ni kigezo cha kupewa kazi siku hizi?

Yeye alipowakata maksi Waislaam alitumia kigezo gani? Waislaam waliposhtukia hizo njama ndio akajidai eti kompyuta.
 
Yeye alipowakata maksi Waislaam alitumia kigezo gani? Waislaam waliposhtukia hizo njama ndio akajidai eti kompyuta.

mmh! wewe haya ya kujidai eti computer uliyapata wapi? au wewe ilishiriki katika jambo hilo?
 
Ungekuwa mwadikigu ungekuwa mdini? Unajua maana ya uadilifu? Unaonesha baada ya madrasa jkiinhia kwenye juzuu na hujawahi kuishi na watu wa imani nyingine zaidi ya hiyo ya kwako. In other words you have no exposure.

Kama umeamua kuwaita Watanzania si watu hayo ni yako si yangu.
 
Back
Top Bottom