Emmani
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 524
- 137
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.
mmmmh! kazi tunayo; kumbe hiyo nafasi nayo ni ya kidini!!! poor Tanzania!