Mkuu"Tatizo wanadamu wa siku hizi ni wabishi sana" by smart 911
Sijui pombe , Kuna wakati anashusha nyuzi nyingi kwa wakati mmoja halafu zote nonsensical hata timing ya kuachia nyuzi mpangilio mzuri wa maudhui yake.Mkuu
Upo timamu kweli,
Depression+stress havijakuathiri
Madogo wengi wanateswa naSijui pombe , Kuna wakati anashusha nyuzi nyingi kwa wakati mmoja halafu zote nonsensical hata timing ya kuachia nyuzi mpangilio mzuri wa maudhui yake.
Ukishamaliza hapa unakuja na akaunti zako zile za mafwl, mara maghabo na ile nyingine ya haszu kujifanya demu.Sijui pombe , Kuna wakati anashusha nyuzi nyingi kwa wakati mmoja halafu zote nonsensical hata timing ya kuachia nyuzi mpangilio mzuri wa maudhui yake.
Childish postBangi sio ya kila mtu.
Utimamu haupimwi pale unapomaliza kuivuta chooni.
Anayehukumu ni Mola,haya mambo ya kumuita mtu kafir,mimi ni muislamu lakini siyapendi"Tatizo wanadamu wa siku hizi ni wabishi sana" by smart 911
Pole dogo tumia jukwaa lako vizuriUNapokuwa confused, hudhania kila mtu anaishi dunia yako.
Undhania kila mtu ana msongo
Ndio maana mtu kama adriz anakusupport sababu he is more confused than you
Lingine..
Mkuu , hasira ipo wapi hapoJack Daniel anahasira sana.
bro tunaishi kwa kusaidiana,bila kujali dini ya mtu,tunaalikana kula,kunywa,tunazikana,tunasaidiana kwa kukopeshana fedha,sasa huu ukafiri unatoka wapi?we need more intelligent men like u. Salute
HAkika kwa bahati mbaya wwngi hawajui maybe wanajifanya tu, makusudi or they are too delusional plus ulimbukenibro tunaishi kwa kusaidiana,bila kujali dini ya mtu,tunaalikana kula,kunywa,tunazikana,tunasaidiana kwa kukopeshana fedha,sasa huu ukafiri unatoka wapi?