msakaa jr
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 6,523
- 6,732
Tangu kuanza kwa mwaka huu 2023 Israel imekuwa ikiendesha utwaaji(occupation) wa maeneo yanayokaliwa na Wapalestina.Hakukua na sababu ya Hamas kuvuka mpaka na kwenda kushambulia Miji na Vijiji vya majirani zao.
Ni hatua ya mwisho ya Vita kati ya Ukraine na Urusi.