LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

Acha nongwa mwisho wa taifa la kimchongo la Israel umefika Palestine wamekuwa wakionewa sana na waislam kuuliwa na kuteswa kwenye ardhi yao, kuchukuliwa ardhi yao na maeneo ya Ibada ya kihistoria. Mungu awape nguvu Hamas watafanikiwa tu hakuna lisilowezekana

Kila siku wafilisti wanaendelea kuikimbia nchi. Hao wayahudi labda wauliwe wote ndio hawataendelea kujitanua
 
Tangu kuanza kwa mwaka huu 2023 Israel imekuwa ikiendesha utwaaji(occupation) wa maeneo yanayokaliwa na Wapalestina.

Ni hatua ya mwisho ya Vita kati ya Ukraine na Urusi.
Hamas hawajasema kuwa hiyo ndio sababu kuu wamesema ni Msikiti wa Jerusaleym
 
Wanamgambo Lebanon Hezbollah wamelipua Radar station ya Israel

// Morning of October 8th, status update:

– One radar station and two IDF outposts targeted with mortars and ATGMs by Hezbollah

– 27 IDF killed in operational activities to clear settlements from Palestinian infiltrators

– At least dozens, possibly hundreds of Palestinian fighters still inside Israeli settlements near Gaza

– Approximately 100 Israeli hostages, most of them active IDF soldiers, still in captivity of Hamas in Gaza

– Israeli Defense Forces unsucessful in entering the main combat phase and entering Gaza so far, Hamas sending reinforcements to captured settlements, especially Be'eri

@Middle_East_Spectator
Chanzo cha taarifa usijekuwa unaleta taarifa za kimemko

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Mpaka sasa vifo nchi Israel imepindukia 400 kwa upande wa palestina imepindukia 300
 
Hamas wamewapelekea Israel moto wa mabua
Sasa ni zamu yao kupelekewa moto wa gesi mpaka akili ziwakae sawa
Israel imewaambia raia wa gaza waondoke kwenye mji huo.
 
Sasa Iron dome zinafanya kazi gani drone za Palestine zinaruka mda huu ndani ya Anga la Israel — / BREAKING: Palestinian suicide drones in the skies above Israel

@Middle_East_Spectator
Screenshot_20231008-115637.jpg
 
Exodus 19 and 24.

This is the covenant God establishes with the people of Israel at Mt. Sinai after he led them out of Egyptian slavery. With it, God supplies the Law that is meant to govern and shape the people of Israel in the Promised Land.
Lete na Matayo ile sehemu waliyolaaniwa na kwenda kuwa Watumwa Roman Empire...
 
Muda wa Israel kulaumiwa umefika. UN, Human Rights Watch, Save The Children na mashirika kibao ya haki za binadamu muda wao huu wa kuandika nyaraka nyingi.

Collateral damage itakuwa kubwa soon kuna watu watalalamika Israel ikijibu mashambulizi
Acheni upendeleo.. Israel si yupo hapo miaka yote anawapiga wenzake...mbona hamkuwa mnakemea!!? Ukraine kaguswa kidogo Dunia nzima keleleee.... Acha wachapane
 
Back
Top Bottom