Edson Zephania
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 517
- 112
Wakuu huyo kijana kang'olewa meno na Yuko hospital ya mkoa! Hali bado si shwari kwa kweli huku! Na si wakala ni mwana CHADEMA tu! Mawakala wanaendelea na kazi zao vizuri.
Mh Rachel Mashishanga, nini hasa lilikua tatizo, na vyombo vya usalama hapo wamechukua hatua gani?