Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,021
Huyo mojaa naye ni mkazi wa hapo daraja II au??
ni mkazi wa hapa daraja mbili anaishi mtaa wa 360.
Huyo mojaa naye ni mkazi wa hapo daraja II au??
Huko Shinyanga:
Gari ya Mbunge wa Viti maalum (CHADEMA) Mhe.Rachel Mashishanga imeshambuliwa kwa mawe wakati akipeleka mawakala vituoni asubuhi ya leo. Taarifa zaidi zinasema kuwa wafuasi wa ccm wamempiga mmoja wa mawakala hadi kumpasua jicho.
(c) Mhe. Rachel
ni mkazi wa hapa daraja mbili anaishi mtaa wa 360.
Dah, basi mna shuguli ya ziada kamanda. Vipi ile kata ya bangata?? Upepo umekaaje kule nako??
Madam, good morning. Sijakusoma hapo kw red text
Sio mnasema tunawachnja then matokeo yaje cvyo!!Tunataka km cdm kura 152 ccm kura2,aliyojipgia yy na mkewe!
Huko Shinyanga:
Gari ya Mbunge wa Viti maalum (CHADEMA) Mhe.Rachel Mashishanga imeshambuliwa kwa mawe wakati akipeleka mawakala vituoni asubuhi ya leo. Taarifa zaidi zinasema kuwa wafuasi wa ccm wamempiga mmoja wa mawakala hadi kumpasua jicho.
(c) Mhe. Rachel
nilimaanisha kwamba mbona sijaona daftari la kudumu la wapiga kura likirekebishwa ili kutoa nafasi kwa kila mtanzania anayetimiza vigezo kushiriki kwenye uchaguzi huu mdogo? ama haina lazima?
....CCM wamewashambulia kwa mapanga na mishale vijana wa CDM usiku wa kuamkia leo kuelekea kupiga kurakata ya MSALATO, makamanda watatu hali zao ni mbaya na wanaendelea na matibabu katika hospitali ya mkoa wa Dodoma
NEC walishasema hawatafanyia marekebisho hilo daftari. Mpk mwaka 2014.
Daraja mbili,kulikuwa na green guards asubuhi nyuma ya shule ya msingi,wanapiga wananchi ili kuwatisha,ila hali hiyo imedhibitiwa
...hivi ni kwa nini hivyo vibwengo vya magamba vinawasumbueni hivyo?...kamata hivyo vikaragosi,vitandikeni sawa sawa mkiviachia viende vikamsimlie aleyevituma,mwone kama vitarudia kufanya huo ujinga tena...
Whaaaaat?? Hebu pata details zaid mkuu utujuze. Mtu kapasuliwa jicho????
Wakuu huyo kijana kang'olewa meno na Yuko hospital ya mkoa! Hali bado si shwari kwa kweli huku! Na si wakala ni mwana CHADEMA tu! Mawakala wanaendelea na kazi zao vizuri.