Kalaga baho
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 5,465
- 11,234
Forgotten mbona unaongea maneno kama mungu mjomba Ako?Hapa ni kama unatwanga maji kwenye kinu. Matajiri wao wanaangalia watabaki na nini baada ya kutoa gharama za uzalishaji, kodi, usafiri, mishahara. Wanataka wabaki na kikubwa kwahiyo sehemu pekee ya kunyonya (kufidia) ni kupitia vibarua: kwasababu wengi wao hawana options nyingi kwenye maisha za kuwaingizia kipato hawana budi kufanya hizo kazi.
Kwasasa Dunia inahama, viwandani inabidi zibaki mashine tu na Engineers. Tulipofikia ni Akili zaidi inayoweza kukupa pesa ya kukidhi mahitaji yako, na hiyo Akili inaenda sambamba na maarifa (elimu). Sasa turudi kwenye nchi yetu: Je, serikali yetu baada ya miaka 60+ toka uhuru imeweza kuwapatia elimu bora watanzania kwa asilimia ngapi? Wenye elimu tu wanalalamika mishahara midogo, hapa ni kila mtu kupambana na hali yake tu.