Nicholaussanga
Member
- Aug 13, 2020
- 25
- 72
Asante kwa update mkuu ubarikiwe kwa kweli ni kichekesho mhusika anasema alifika Tazara wao shahidi wa Jana anasema hawakufikishwa ndio maana waliunganisha karatasi lakini wakili wa utetezi wakijua janja Yao wakaumbuka kwa maswali.