wallahi sijui kwa nini samiah anakubali jamhuri inadhalilika kiasi hichiHii kesi kwa jamuhuri/serikali, ni sawa na makalio ya kuku kwenye upepo mkali.
Aliyebambikiwa kesi hii ni mtu maarufu sana nchini na mwenye influence kubwa kwenye jamii.
Just imagine kwa wananchi wa kawaida ambapo haya masuala yameshazoeleka kabisa. Ndiyo maana hii nchi haiwezi kupata maendeleo chini ya mfumo huu tulio nao.
Ukatili na ujinga wa polisi kwa wananchi wa kawaida ni jambo ambalo limezoeleka. Hakuna competence kwenye kila nyanja ya utawala nchini mwetu.
Tumeona jinsi ambavyo jamuhuri na vyombo vyake vya dola jinsi ambavyo wamekuwa exposed.
Hatua nzuri ya kwanza ya kuanza kuondokana na haya yote ni katiba mpya. Katiba kutoka kwa wananchi kwa ajili ya wananchi ndiyo mwanzo wa muafaka.