Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,756
Mkuu Yoda ubaya hauna kwao....Siasa za kihasimu zilikomazwa na kufikishwa kiwango cha juu kabisa na jiwe wako.
Mkuu Yoda maslahi ya nchi ni kwanza kabla ya YEYOTE YULE.....
#SiempreJMT
Mkuu Yoda ubaya hauna kwao....Siasa za kihasimu zilikomazwa na kufikishwa kiwango cha juu kabisa na jiwe wako.
Nakuelewa sana!Toa ushauri wowote tuko tayari kufuataTusimwamini sana huyu jaji, maana mahakama ni genge la Ccm. Tutaona jaji ana fuata kanuni, kumbe hukumu ina andikiwa Ikulu. Tusishangae maana kura tuna piga sisi lakini washindi huamuliwa na tume.
Mkuu Yoda ubaya hauna kwao....
Mkuu Yoda maslahi ya nchi ni kwanza kabla ya YEYOTE YULE.....
#SiempreJMT
Mkuu achana nao hao...ni mabeberu ndani ya nchi yetu kisa madaraka..ni mabata tu kama mabata wengine!!Mkuu kwa nguruwe babaako angepewa mateso kama haya akiwa uchi wa nyama na kupigwa marungu kwenye makalio nyayo na kuchomwa kwa bisi bisi makalioni usingeandika ujinga kama huu.
Mkuu achana nao hao...ni mabeberu ndani ya nchi yetu kisa madaraka..ni mabata tu kama mabata wengine!!
Tutaipigania Tanzania 🇹🇿 yetu for the better of our son's & daughters!! Ni lazima tutimize wajibu wetu ..na ni sasa.
Kwa kusema tu mdomoni, au kuna kunbukumbu ya maandishi inayoonyesha watuhumiwa walipo kamatwa walikutwa na kiasi hicho cha pesa?watasema wanazo na wamewatunzia.
Tungejibizana kama ungekua unaelewa sheria ila wacha tusiingie huko mkuukwahiyo aachwe mtaani andelee kuumiza raia wasiokua na hatia et kwa kua upelezi haujakamilika
"Wamemtupa"Kwahiyo kwa maelezo ya shahidi namba mbili na mtuhumiwa namba tatu ni kuwa polisi wamemuua/wamempoteza Mosses Lijenje
Ndani na mateso juuKumbe naye aliwekwa ndani maskini dhambi ya unafiki
Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
Walikuwa wanamaanisha nini?"Wamemtupa"
Sijui kina Mahita wenyeweWalikuwa wanamaanisha nini?
Aiseeh maaskari kama magaidiSijui kina Mahita wenyewe
Kuna Kitu linaitwa Jumanne ni Jambazi kabisa, sijui aliingiaje jeshi la polisi.Mashahidi wamegeuzwa kuwa wahalifu mbele ya mahakama. Kweli Kibatala ni Pilato a.k.a Mkaanga Sumu.
Nasubiri siku HAIJIPII Zerro anasimama kizimbani kutoa ushahidi, atakachofanywa na Kibatala siku hio ataimba wimbo wa PGA usio na kiitikio.
Sisi tusio "wajeda" tunaweza tusijue sana taratibu zao za matibabu...Na ushahidi huo wakiuleta kuwa aliondolewa kwa ajili ya nidhamu, itakuwa objected maana Kama hamkumpa barua, tutaaminije hicho mnachokileta... beyond reasonable doubt. Kwanini yeye hana certificate ya matibabu Lugalo kuwa alikuwa anatibiwa Nini?
Nahisi kwamba Tanzania hatuujui ugaidi. Kinachooneka polisi hawana kazi za kufanya!Hamna kesi hapo, waTanzania wanapigwa chengesha kuhamishwa kwenye dai muhimu la Tume mpya na Katiba mpya,