ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,130
- 9,493
Yaan mtu anifunge hivi alafu ndo nakutana nae mtaani ni bora tu nife naeKwa wale ambao hamjui shahidi alivyosema "killing zone" ndiyo hii - mateso yake ni ya namna hiii - ukivumilia dakika 30 we ni kidume kweli kweli.. Nafikiri kati yao Adamoo atakuwa kapitia mateso makali mno.
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app