Yaliyojiri katika Uchaguzi Serikali za Mitaa - Dec 14, 2014

Yaliyojiri katika Uchaguzi Serikali za Mitaa - Dec 14, 2014

Mwanza
Mabatini kaskazini
Mwenyekiti
Ccm 319
Cdm 231
Cuf 2
 
Mtaa wa Sweya Mwanza
Cdm 307
Ccm 149(amefariki muda mfupi kabla ya matokeo)
 
hvi hawa watu wa UKWAMA wanavutaga bangi kwanza au viroba ndo wanakuja Jf. ebu angalia post kama hii.
"hapa tunasubiri matokeo,mgombea wa cdm anaelekea kushinda" sasa kwa nini asubiri si aende akalale anajua "mshindi" wao.
NGOJA MATOKEO YA JUMLA YAJE WAANZE VISINGIZIO.
kwa matokeo ya jumla ccm itashinda, ila si kwa kiwango walicho zoea, na ukumbuke pia kuwa ccm imetumia hila nyingi sana.
 
Meko kaskazini Mwanza
Mtaa wa Nundu
Cdm 288
Ccm 140
 
MATOKEO MPAKA SASA TULIPOSHINDA:
Tarime mtaa wa bugosi,
Moshi manispaa-Lunguo A
Mbozi mtaa Mbugani na Masaki,
Kigoma mjini-mtaa Gezaulole,
Ukonga mtaa Majohe
Karatu-mtaa mazingira bora na mtaa maliasili,mtaa wa manyara
Ubungo mtaa mbezi yusuph,
Mwanga-mtaa mlahang'a,
Ilemela-mtaa Pasiansi
Tarime mtaa Regoryo na mtaa bugosi,
Segerea mtaa Migombani
Mwanga kitongoji mgagao,
Rorya mtaa ngasaro,
Arumeru Mashariki mtaa Manyata
Musoma muhoji kijiji,
Ubungo mtaa msewe,
Kinondoni mwenge nzasa,
Monduli;mto wa mbu
Tarime kitongoji forodhani boda,kijiji forodhani,
Segerea mtaa bonyokwa na mtaa msigwa
Msigani mtaa malamba mawili

source:john mnyika fb page
 
Back
Top Bottom