Yaliyojiri katika Uchaguzi Serikali za Mitaa - Dec 14, 2014

Yaliyojiri katika Uchaguzi Serikali za Mitaa - Dec 14, 2014

Mtaani kwetu Kiseke PPF Mwanza nimeshawafuta CCM mim na jiranizangu wote tupatao 18! Vijana niwengi kweli kwenye foleni. RIP ccm

nimefrai kusikia majirani wangu wote chadema sijajua nera pakoje au pale ghana? one day itakuwa ndiyo
 
kachukua, kaweka. waaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa sijasikia huu wimbo au umepigwa marufuku?
 
Hapa mbagala saku ,kituo mfenesini karatasi za kupigia kura zipo 300 tu na watu walio jiandikisha kupiga kura ni 1512 ,kwa hiyo mpaka sasa upigaji kura bado haujaanza
 
Wilaya ya Serengeti kata ya Natta hadi sasa vifaa havijafika.
 
Wananchi wa kawe walalamika utaratibu wa majina yao kutosomeka vizuri copy za makaratasi zaloa na mvua na kupigwa na jua la njaa majina kutosomeka. Wengi wakatishwa tamaa.
 

Attachments

  • 1418546261167.jpg
    1418546261167.jpg
    60.1 KB · Views: 292
  • 1418546479548.jpg
    1418546479548.jpg
    55 KB · Views: 280
Mtaa wakiwalani mwale baadhi ya wagombea hawamo kwenye holodha tamko bado halijatolewa lghailishwa au vp baadhi ya raia hawaelewi
 
Mikoa ya Katavi na Kagera imeongoza kwa watu walio jiandikisha kupiga kura, Katavi 76% Wamejiandikisha, Kagera 78%, Kilimanjaro 50%, Dar es Salaam 43%.
 
Kilindi wilaya nzima noo upinzani jamani? Kazi mnayo wapinzani.
 
huku kihonda (morogoro) wameleta.watu wasio raia wa tz kupiga kura ntafurahi kusikia ccm imeshindwa.
 
Kila mtaa ambalo mgombea wa act anaonekana kufanya vizuri hujuma ya kuchelewesha vifaa imeshamiri
 
Kigamboni mtaa wa Ferry uchaguzi umeingia dosari baada ya mjumbe mmoja wa UKAWA kupitia CUF jina lake kuonekana kwenye karatasi ya kupigia kura wakati alikuwa amekwisha jitoa

Hapa hali ni tete CCM wanalazimisha uchaguzi ufanyike hivo hivo wakati UKAWA wakipinga kitendo hicho hali iliyomlazimu msimamizi wa kituo kuingilia na kutoa maelekezo kuwa hilo jina limewekwa kimakosa na amewaelekeza wapiga kura wasilipigie kura.....

Ccm wanadai hiyo itakuwa karata yao ya mwisho kutumika kupinga matokeo mahakaman kwani hali yao ni mbaya sana huku kigamboni kwa mitaa yotee.....

Kweli kamanda .mwingamno anahaha.
 

Attachments

  • 1418547275664.jpg
    1418547275664.jpg
    61.2 KB · Views: 252
Ndugu wana jf, nimeifuatilia uchaguzi wa Leo kila sehemu ni kero na kwingi umeahirishwa kwa Mwandamizi duni, kwa Hali hii kwa nini waziri asijiuzulu? Mbona kama ni jambo la dharura?. Namuomba mkuu wa kaya amjumuishe waziri husika kwenye wale atakaotengua teuzi zao kwa kashfa ya escrow
 
Hapa nipo kwimba_Ngudu mwamza kwenye jimbo la Mansoor.
karatasi za kupigia kura ni chache sana na vituo vingi tu hawakapata karatasi.
kuna kila dalili uchaguzi ukaairishwa!
 
Vijana wakigombea buku mbili mbili za mgombea wa ccm kawe
 

Attachments

  • 1418547578688.jpg
    1418547578688.jpg
    37 KB · Views: 256
Huu uchaguzi umetawaliwa na uhuni wa rafu za chama cha majambazi, kusherehea ushindi kwenye uchaguzi kama huu ni kujidhalilisha na kutokujetendea haki.

Mpaka sasa kuna maeneo uhuni ni mkubwa sana halafu tunajinasibu kuwa sisi ni nchi ya kidemokrasia! Upumbavu sana
 
Matokeo mazuri yapo juu ya ukawa maana sehemu zote nilizopita naona vijana wamehamasika!
 
Back
Top Bottom