Namshukuru Mungu nimepiga kura kwa amani na utulivu wa hali ya juu.
hadi saa tatu hii asubuhi utaratibu wa kupiga kura hauleweki.. kuna chaos tu hapa..
*HAKUJABANDIKWA MAJINA YA WAPIGA KURA
*MPIGA KURA HAJUI ATAPIGA KURA KATIKA KITUO KIPI (MAJINA SI HAMNA)
*WANASOMA MAJINA KWA MDOMO RAIA MSIKILIZE MAJINA.YENU ..VITUO VITATU WASOMAJI WANATUMIA MDOMO ..NI MKANGANYO TUU.. HUJUI UMSIKILIZE MTANGAZA WA KITUO GANI..
*WAKO SEHEMU YA WAZI TU AMBAYO HATA KUBANDIKA MAELEKEZO NI NGUMU MNO... hili eneo lina mashule mengi tu walishindwa hata kuweka kituo cha uchaguzi katika shule moja wapo
*MISTARI INAPANGWA WASIMAMIZI WANAIVURUGUA NA WATU NI MAMIA..
......NI UGOMVI NA MAKELELE TUPU...kuna dalili zote za kupigwa ngumi hapa
............huu utaratibu sijawahi kuuona sehemu yoyote....mwenye namba ya watu wa tume ya taifa ya uchaguzi tafadhali aweke hapa tupeleke madai yetu kwao
Ndugu nimepata taarifa za kusikitisha sana.. niana mdogo wangu pale CBE ansoma actually nilikuwa nataka kumtumasamewhere saivi alicho nambia nilitamani nilie hasa nikiona vijana wanavyosumbuka sababu ya ajira na taabu zote za kijamii.
Kanambia leo anawahi eti Maccm yanakujaga yanagawa nguo kwa wanafunzi bure halafu wanawapandisha kwenye gari wanaanza kutalii nao ili wawashangilie baadae wanawapa chakula na pesa kiasi fulani fulani.
nikaamuliza, Je, wanawaandika majina, akajibu ' hapana, wakija tu wanatugawia hivyo vitu baadae mnaondoka nao, mbona wanatusaidia sana kwakweli, viela ela hivi vidogo vidogo na chakula, aahhhh! si haba. pia tuna refresh kwa kutalii nao.
Jamani mimi machozi yamenitoa.