Yaliyojiri katika Uchaguzi Serikali za Mitaa - Dec 14, 2014

Yaliyojiri katika Uchaguzi Serikali za Mitaa - Dec 14, 2014

Jaman watanzania hata sielew kwanin hatuon umuhim wa uchaguz kwakwel vituon naona weeng ni watu wenye lika kubwa vijana vip mbona sielew? halafu kesho waje hum na matusi ya kijingajinga
 
Ndugu nimepata taarifa za kusikitisha sana.. niana mdogo wangu pale CBE ansoma actually nilikuwa nataka kumtumasamewhere saivi alicho nambia nilitamani nilie hasa nikiona vijana wanavyosumbuka sababu ya ajira na taabu zote za kijamii.

Kanambia leo anawahi eti Maccm yanakujaga yanagawa nguo kwa wanafunzi bure halafu wanawapandisha kwenye gari wanaanza kutalii nao ili wawashangilie baadae wanawapa chakula na pesa kiasi fulani fulani.
nikaamuliza, Je, wanawaandika majina, akajibu ' hapana, wakija tu wanatugawia hivyo vitu baadae mnaondoka nao, mbona wanatusaidia sana kwakweli, viela ela hivi vidogo vidogo na chakula, aahhhh! si haba. pia tuna refresh kwa kutalii nao.

Jamani mimi machozi yamenitoa.
 
Twendeni Tukapge Kura Tukijua Wazi Kwamba Mwenyekiti Wa Kijiji Au Mtaa Ana Uwezo Wa Kutatua Kero Ndogondogo Tu Mf. Ulinzi,kuptsha Barua,kusuluhsha Mizozo etc, Miradi Kama Maji, Umeme, Zahanati, Ni Jadi Ya Siasa Za Uwongo Za Tanzania.
 
Kituo shule ya sekondari techfort, kitongoji matonga watu wamejitokeza kwa wingi
 

Attachments

  • 1418536210956.jpg
    1418536210956.jpg
    71 KB · Views: 514
  • 1418536230269.jpg
    1418536230269.jpg
    111.5 KB · Views: 481
  • 1418536246206.jpg
    1418536246206.jpg
    97 KB · Views: 474
Siasa za upinzani zinanishangaza sana kiukweli. Ukiwa unashinda hapa Jf nakusoma yanayoendelea juu ya kuchukiwa CCM utadhani uchaguzi ukiitishwa kesho hakuna tena CCM. Lakini ukipita huko mtaani watanzania hawana wanachojua zaidi ya CCM. Nimepita sehemu majuzi nikiwa tanga mjini watu/wanawake ndio wanajadiliana wanasema nasikia kuna chama kipya chaitwa UKAWA kimeunganisha CUF na CDM. Sasa huyu akienda kwenye sanduku la kura asipoikuta UKAWA ataichagua nini kama si CCM?

Una roho mbaya sana mkuu! Naomba mungu alaani vizazi vyako vyote! Machungu ya watanzania yabadilike kuwa laana na mateso kwa vizazi vyako vyote! Ulaaniwe sana mkuu!
 
Kigamboni mtaa wa Ferry uchaguzi umeingia dosari baada ya mjumbe mmoja wa UKAWA kupitia CUF jina lake kuonekana kwenye karatasi ya kupigia kura wakati alikuwa amekwisha jitoa

Hapa hali ni tete CCM wanalazimisha uchaguzi ufanyike hivo hivo wakati UKAWA wakipinga kitendo hicho hali iliyomlazimu msimamizi wa kituo kuingilia na kutoa maelekezo kuwa hilo jina limewekwa kimakosa na amewaelekeza wapiga kura wasilipigie kura.....

Ccm wanadai hiyo itakuwa karata yao ya mwisho kutumika kupinga matokeo mahakaman kwani hali yao ni mbaya sana huku kigamboni kwa mitaa yotee.....
 
Una roho mbaya sana mkuu! Naomba mungu alaani vizazi vyako vyote! Machungu ya watanzania yabadilike kuwa laana na mateso kwa vizazi vyako vyote! Ulaaniwe sana mkuu!

Mkuu umenichekesha sana...pamoja na kumlaani bado unamtukuza na ukuu.....huyo jamaa ni fisadi wa fikra hiyo ndio heshima yake.
 
Nipo hapa Mbeya, kada wa chama tawala. Hata hivyo pita pita ya ngu mitaani hadi kule Rungwe nimejionea mwenyewe hali ilivyo tete kwa CCM.

Ni kama CHADEMA wao wamejitayarisha vizuri, na wapo kila mahala. Huu si oungo ,maana wameteka vijana wengi na bendera hasa Ile pana ziko kila mahala.

Jana niliona magari kadhaa ya matangazo na uhamasishaji ya CHADEMA, lakini sikubahatika kuona hata moja la CCM.

Nimefika Kiwira ndo balaa! Mchana vijana walifunga barabara kwa mdundiko uliokuwa ukiongozwa na gari ya matangazo ya CDM!

CCM najionea huruma lakini tusubiri tu.
Mabendela na mdundiko havipigi kura! Labda wamejipanga kivingine. Binafsi ningefikiria kampeni nzuri kwenye serikali za mitaa ingekuwa nyumba kwa nyumba kwa mgombea kujitambulisha kuliko hizi za makelele na helkopta!
 
Twendeni Tukapge Kura Tukijua Wazi Kwamba Mwenyekiti Wa Kijiji Au Mtaa Ana Uwezo Wa Kutatua Kero Ndogondogo Tu Mf. Ulinzi,kuptsha Barua,kusuluhsha Mizozo etc, Miradi Kama Maji, Umeme, Zahanati, Ni Jadi Ya Siasa Za Uwongo Za Tanzania.

Lakini Mkuu Hawa Ndo Msingi Wa Nyumba,kwahiyo Tukachague Walio Bora Wa Kuweza Kutuondolea Matatizo Yaliyo Chini Ya Uwezo Wao.
 
Mkuu CHAMVIGA hapa Jf kila uchaguzi huwa hizi harakati za chadema na wafuasi wake zipo hivi hivi kila uchaguzi, subiri ikifika usiku wa leo watakuja na hadithi mpya, utasikia daftari la wapiga kura halijaboreshwa, utasikia kura zimeibiwa, yaani zitakuja sababu hapa kama elfu 10,
Ajabu kuwa hii CCM ndio hiyo hiyo miaka yote na mbinu zao za ushindi ni zile zile, kifupi upinzani hauna mikakati ya maana kushinda, nategemea leo usiku upinzani utarudia Yale Yale ya miaka yote kulalamika bila kupata suluhu

Una hakika? We binafsi unajua nini? Na kwa nini nyie ni majizi sana? Unajua mini hufanyika? Kwa nini mkishindwa huwa hamtangazi matokeo hadi muone watu wako tayari muwauwe? Nitajie mbunge mmoja wa Chadema ambaye alitangazwa kwa haki! Majizi nyie mnadhani hatujui? Ukawa imewakaba mnabwabwaja tu! Tulieni dawa iwaingie! This time sio Chadema ni ukawa! Ndo mtajua! Cheki na invizibo akupe dili za baraza jipya la mawaziri lilovuja na benki ya dunia yagoma kutoa msaada tz, mfe tu!
 
Last edited by a moderator:
Nipo safarini muda huu kutoka Hometown Lushoto naelekea pande za Tanga mjini nimepita soni,mombo,korogwe asubuhi hii watu wamejaa stendi wanapiga dili za kusongesha maisha yao wala hawana habari na kitu inayoitwa uchaguzi na hawahawa ndio huwa wanakuwaga kipembelembele kwenye kuiponda CCM lakini hawanaga tabia ya kupiga kura je CCM mtaitingisha lini nyie wapinzani?

Watanzania wamekoseshwa elimu na hilo ndio mtaji mkubwa wa chama tawala.

Itabidi mfikirie upya uendeshaji wa siasa zenu otherwise mtapiga sana kelele.

wewe una tofauti gani na hao wa stend! wakati na wewe unazulura tu hutaki kupiga kura!
 
Nipo kituo cha kupigia kura,hawajaleta masanduku mpaka sasa na watu ni wengi.
 
Katibu wa ccm kata ya Bukabwa wilaya ya Butiama anasambaza barua anazodai ni za wagombea WA cdm kujitoa. Tunaomba akamatwe.
 
1418536801080.jpg
:thumbup::thumbup:hii ni mstari wa kupiga kura asubuhi hii.... Msilale kwingine nchi nzima
Hii ni picha
 
Ndo naelekea kituoni mida hii kuing'oa ccm
 
Yupo KITONGOJI cha Kyasuke Zahanati. Anabarua ya mgombea Wa cdm kujitoa.
 
Back
Top Bottom