Yaliyojiri katika Uchaguzi Serikali za Mitaa - Dec 14, 2014

Yaliyojiri katika Uchaguzi Serikali za Mitaa - Dec 14, 2014

tangu zaman watu wanasema waanzisha fujo ni ccm nashangaa bado kuna watu wanabisha
 
Kata za Nyansurura, Machochwe, Nyamoko, Rung'abure na Kebancha huku Serengeti Mara, hadi hivi sasa Saa 12:20pm, Karatasi za kupigia Kura hazijafika Vituoni bila taarifa toka kwa Viongozi wa ngazi za juu, tunapohoji kuhusu sababu za kucheleweshwa kuanza kwa Uchaguzi, wanabaki wanatupiana Mipira. KAMA IPO, IPO TU... PIGA KURA LINDA KURA.
 
Mkuzo Songea mjini. Foleni haziendi. Tangazo limetoka watu wanapiga kura kwa majina yawatu wengine. Wazee wa busara wameshauri kuita jina na no halafu kuhakiki kwa kitambulisho. Sijui kama tutamaliza.
 
Nimesikitika sana kumsimkia mkuu wa wilaya ya Kilindi akihojiwa na Ch10. Amesema "...Kwa bahati nzuri huku kwetu hakuna uchaguzi na wagombea wetu wamepita bila kupingwa..."

Kwa wale ambao hamjui, kumefanyika hujma kubwa wilaya ya kilindi
 
Huku sengerema upigaji kura unaendelea kwa wananchi kuitwa majina katika kituo cha shule ya msingi sengerema.imeamuliwa kuitwa majina wakisema wananchi wameshindwa kusoma majina yaliyobandikwa kwasababu hayakupangwa kwa herufi.lakini bado sijaona ni sababu ya kutosha kwasababu inapoteza muda na inafanya wananchi wasubiri sana.najaribu kuwashauri turudi kwenye utaratibu wa kawaida wa kupanga mstari.
 
wazungu watakwambia tanzania ni mfano wa democrasia afrika badala ya mfano wa kangamoko duniani
 
…niko kwenye mstari nasubiri kupiga kura yangu kumchagua mwenyekiti wa mtaa…jua ni kali sana na foleni ni ndefu na nisogea pole pole sana…liwake ama inyeshe nitabaki hapa hadi kieleweke…kura ni siri lakini kura yangu, ya mke wangu,pamoja na shemeji yangu na dada wa kazi kura zetu sio siri,kura zetu ni kwa UKAWA… MUNGU IBARIKI TANGANYIKA, MUNGU IBARIKI UKAWA
"UKAWA TUMAINI LETU"…

Me nimepigia UKAWA tumaini letu
 
10801870_315160458677928_8688034558725149839_n.jpg
 
Kata za Nyansurura, Machochwe, Nyamoko, Rung'abure na Kebancha huku Serengeti Mara, hadi hivi sasa Saa 12:20pm, Karatasi za kupigia Kura hazijafika Vituoni bila taarifa toka kwa Viongozi wa ngazi za juu, tunapohoji kuhusu sababu za kucheleweshwa kuanza kwa Uchaguzi, wanabaki wanatupiana Mipira. KAMA IPO, IPO TU... PIGA KURA LINDA KURA.

....dalili za kushindwa kwa ccm zilionekana tangu mwanzo ...Pinda ajiuzuru !!!
 
Hapa mwanza wilaya ya iilemela kata ya kirumba. Eneo la shule ya msingi tuko toka saambili asubuhi atujapiga kula tumepanga foleni mpaka tumechoka kisa eti karatasi za kupigia kura hazijafika.mpaka hivi sasa saa sita na nusu.
 
Duh? Wilaya nzima? Kwa minajiri hyo CCM ni daima dumu.

Hukumsikia mkuu wa wilaya akihojiwa CH10?! Mkuu wa wilaya mzima eti anasema "...Tunashukuru huku kwetu hakuna uchaguzi maana wagombea wetu wamepita bila kupingwa..." Haya ni maneno yanayoweza kusemwa kwa ukamilifu wake na watu wenye ulemavu wa akili na kuwa supported na watu wa aina hiyo.
 
Back
Top Bottom