mukulupapaa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 2,930
- 1,734
Mbeya mjini kitongoji cha isengo marry mwanjelwa mwenyewe alipanda jukwaa la chadema akampigia kampeni mgombea wa chadema maana kaona hana pakutokea
acha mambo ya kipuuzi weweNjia kuu.
acha mambo ya kipuuzi wewe
sisi huku Tabora mpaka sasa ni zaidi ya saa 2 unusu hakuna majina, wasimamizi wala chochote. hii ndo Tanzania
Ulitakiwa tu kuhimiza watu kupiga kura lakini sio kufanya kampeni hapa siku ya leo. Nyie ndo mnavunja utaratibu mkishitakiwa ati mmeonewa. Shame on you.
Dawa moja tu, hakuna kucheza mbali hata wakifungua saa 10 muwepo karibu.