Yaliyojiri katika Uchaguzi Serikali za Mitaa - Dec 14, 2014

Yaliyojiri katika Uchaguzi Serikali za Mitaa - Dec 14, 2014

Rasmi sasa Mtaa wa Kinyerezi uchaguzi hakuna maana hakuna vifaa vya kupigia kura .
 
Uko sawa mkuu. Yaani jambo hili linajulikana miaka mitano iliyopita, halafu wanashindwa kutekeleza jambo ambalo ni routine? yaani la kujirudiarudia? Huwezi tumia makosa ya chaguzi zilizopita kurekebisha mambo ya sasa hivi? Yaani waziri mkuu hafai hafai hafai, Hawa Ghasia Hafai hafai hafai!
 
Maeneo yote Act waliposimamisha wagombea kumekuwa ma hujuma mbalimbali za makusudi kuchelewesha vifaa au jina la mgombee uenyekiti kutokuwepo
 
Kilindi wilaya nzima noo upinzani jamani? Kazi mnayo wapinzani.

Bahati mbaya akili ni zilezile za kuchovya kwenye kashata! Umejiuliza kujua kuwa ni hujuma za chama dola au ni kweli upinzani walishindwa kusimamisha wagombea?!

Kwa taarifa yako wagombea karibu wote wa CHADEMA waliwekewa mapingamizi kwa tumia mihuri ya Kata wakati walikuwa wamekubaliana na Mkurugenzi itumike na matokeo yake akawageuka... Hii inchi ina demokrasia ya kijinga sana,
 
Maeneo ya Karakata Uwanja wa ndege DSM uchaguzi umesitishwa baada ya hitilafu ya kuchanganywa kwa makaratasi ya kupigia kura. Makaratasi ya mtaa A yamepelekwa mtaa B na ya mtaa B yamepelekwa mtaa A. Wakaazi wa mitaa hiyo wamesikika wakisema kuwa ni mbinu ya MaCCM kutaka kuwatumia wanachama wao ktk mitaa iliyokosa kupiga kura leo ili waende mitaa mingine kupigia kura wagombea wao. Mitaa iliyotokea mkanganyiko ni Karakata na Mjimpya.
 
kale kawimbo kachukua kaweka waaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaakalipigwa marufuku ?sikasikii
 
Uzuri sana vijana wapo vituon kwa wingi huku kundi la wazee na akna mama ni wachache mno naamn ambako wapinzani wanawagombea watashinda kwa wingi wa kura.
 
Bahati mbaya akili ni zilezile za kuchovya kwenye kashata! Umejiuliza kujua kuwa ni hujuma za chama dola au ni kweli upinzani walishindwa kusimamisha wagombea?!

Kwa taarifa yako wagombea karibu wote wa CHADEMA waliwekewa mapingamizi kwa tumia mihuri ya Kata wakati walikuwa wamekubaliana na Mkurugenzi itumike na matokeo yake akawageuka... Hii inchi ina demokrasia ya kijinga sana,

Duh? Wilaya nzima? Kwa minajiri hyo CCM ni daima dumu.
 
…niko kwenye mstari nasubiri kupiga kura yangu kumchagua mwenyekiti wa mtaa…jua ni kali sana na foleni ni ndefu na nisogea pole pole sana…liwake ama inyeshe nitabaki hapa hadi kieleweke…kura ni siri lakini kura yangu, ya mke wangu,pamoja na shemeji yangu na dada wa kazi kura zetu sio siri,kura zetu ni kwa UKAWA… MUNGU IBARIKI TANGANYIKA, MUNGU IBARIKI UKAWA
"UKAWA TUMAINI LETU"…
 
Watu watatu wa CCM; Mgombea wa Uenyekiti wa Mtaa Kinondoni Mjini na mawakala wawili wamekamatwa na kupelekwa Kituo cha Polisi Oysterbay baada ya kuvunja masanduku ya kura na kuingiza watu kituoni kwa nguvu wengine wakiwa na mapanga, baada ya kuanza kuona upepo unawaendea vibaya. Polisi wa FFU walio full geared wamefika kituoni hapo na kuondoka na watu hao.
 
Tayari jamani nimeshaweka alama ya vema kwa Chadema..

Kuna mamluki wa CCM waliletwa hapa kituoni
lakini nimefurahi sana.
mkuu wa uchaguzi hapa amewatema..
Makada wachache wa CCM kitongoji hiki wanahaha sana.

People's powerrrrrrrr
 
Mpaka mida hii ya mchana,kata ya nyahanga hawajaanza kupiga kura kutokana na kuchereweshwa makaratasi ya wagombeaji.
 

Attachments

  • 1418548796282.jpg
    1418548796282.jpg
    86.7 KB · Views: 259
Back
Top Bottom